Aramun
Senior Member
- Nov 8, 2023
- 165
- 745
- Thread starter
- #41
Mmoja anafanya kazi ila still home wanaona kama "BADO HAITOSHI".... Yani mama mtu ana kitu moyoni anatamani akiseme lakini ndo ivo hawezi kukisema directly..Hebu fanya kuweka mawasiliano ya hao wawili, kuna vikazi kibao vya kujiskiza hii dar.
Ni ajabu binti kusema hana kazi dar ni ajabu mno, mabinti wanaajirika sana kwenye sekta nyingi.
Ujue mzazi anamchoka kwakua ni kula kulala, at 25yrs kua kula kulala haipendezi aisee.
Ajishkize hata kwenye shughuli yoyote walau awe anatoka asubuhi na kurudi jioni, atapata tu akili ya kusepa.
Sisi ndo tubadili mindset, ila kuwalaumu hao wazazi ni kazi bure.
Niko single, niunganishe na mmoja wapo nipate jiko mie. #joke