Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,093
- 22,806
Msagaji yule mamaWengine homoni zao hazipo sawa. Wengine wanavunja ungo after 20yrs.
Kuna Condoleza Rice, hajawahi kuonekana hata na bwana inasemekana
Msagaji yule mamaWengine homoni zao hazipo sawa. Wengine wanavunja ungo after 20yrs.
Kuna Condoleza Rice, hajawahi kuonekana hata na bwana inasemekana



Nipo hapaSasa na mimi mbona niko miongoni mwa hao wanaozungumziwa na niko tu kawaida.
But sometimes nawish nikuwe na mpenzi, nimpendeee nimuheshimuu nimpe huba la hela yote LAKINI nikishashiba machalari nikashushia na loshoro woiii nasahau kila kitu najikuta siku imeisha, still single and the circle continue![]()
Naahidi kukupa penzi matata!!Sasa na mimi mbona niko miongoni mwa hao wanaozungumziwa na niko tu kawaida.
But sometimes nawish nikuwe na mpenzi, nimpendeee nimuheshimuu nimpe huba la hela yote LAKINI nikishashiba machalari nikashushia na loshoro woiii nasahau kila kitu najikuta siku imeisha, still single and the circle continue![]()
Sa hapo umeongea nini? We umeelewa ulichokiandika kwanza.Ni sawa sawa na kukataa kula asubuhi na mchana. Ukiahidi kuwa hautakula maisha yako yote, na ukifika usiku tu mida ya saa nne upo jikoni unapekuwa masufuria kutafuta msosi.
waoeni haraka sana hahaaaa
Unatamani kuwa na ndoa lakn,sem hujapt mtu wa kukuoa,kul kushiba na kulal siyo kipaumbele chakoInategemea "ntu na ntu" binafsi niko na thirty two yangu safi kabisa na hakuna kitu cha kunifanya niwe desperate as long as nakula nashiba na kulala kwa amani.
Hata wa miaka mia moja ni binti wa mtu.Ivi na hao wanaokaribia thirty wanaitwa mabint![]()
Hata 24 hivyo hivyoKweli kabisa
Hahaha kwani unadhani wanaotaka kuolewa hawali wakashiba na usingizi hawapati..?Inategemea "ntu na ntu" binafsi niko na thirty two yangu safi kabisa na hakuna kitu cha kunifanya niwe desperate as long as nakula nashiba na kulala kwa amani.
Vipi wewe je umeshaolewa?Usiwafokee Sasa,hakuna asiependa kuolewa.
at 20...Awe tajiri,handisam,mweupe,six pack,mrefu,mcha mungu etc
at 25...Awe tajiri,handisam,mweupe,six pack
at 30...Awe mwanaume tu
at 35..Ilimradi awe anakoroma tu usiku.....
.
.
.
..
.