Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Hebu tuwache aise😅😅Idanganye akili yako kwamba kila kitu kipo poa.
Soon tutakuona unaanza kutangaza SERIOUS husband WANTED...
Hebu tuwache aise😅😅Idanganye akili yako kwamba kila kitu kipo poa.
Soon tutakuona unaanza kutangaza SERIOUS husband WANTED...
Genye vipInategemea "ntu na ntu" binafsi niko na thirty two yangu safi kabisa na hakuna kitu cha kunifanya niwe desperate as long as nakula nashiba na kulala kwa amani.
26' nn mkuu unge'specify apoMwenye 30's Aliyetayar kuolewa anifate Dmnina 26 chin!!
Serikali ya Magufuli iingilie kati hili swala.Nini kifanyike?
Mkuu uandishi wako changamoto,Tuwa saidie jamani!
Acha uongo bahanaMimi na miaka 50, and I'm single happy and relieved and relaxed.
Tuendelee kunawa na sabuni na maji yanayotiririka.Nini kifanyike?
huu ndio ukweli wenyeweFaraja ya mzazi makini ni kuona mwanae anapata mwenzi wake.View attachment 1560896
Tuwasaidieje
mwanamke anakimbia majukumu tuLakini vijana kama sisi wala hatuna depression ya kuoa mapema
Kwenye Avatar ni wewe?kweli bwana
Mabinti wazeeIvi na hao wanaokaribia thirty wanaitwa mabint![]()