Na unakereka na hao wanawake..!
Acha kutusimanga
Kwa kuwa nao karibu kuwapa ushauri, faraja na upendo
Wanaitwa wanawakeIvi na hao wanaokaribia thirty wanaitwa mabint![]()
Hata kuwa oa mkuu usisahau hiyo ndiyo main point
pole sanaDamn true and I do not care.
hizi analysis umeokota wapi?Hivi kwa nini mabinti, wanawake wanakosa wa kuwaoa, ilhali sensa zinaonyesha wanaume walio juu ya Miaka 18 ni wengi kuliko wanawake.
Nilidhani wanaume ndio wangekosa wanawake wa kuwaoa. Kwasababu supply ni ndogo kuliko demand ya wanawake.
Yupo sawa.hizi analysis umeokota wapi?
Huu ugomvi wa mawe ulioanzisha hakikisha umeficha gari lako kabla hujaingizwa hasara 🤣Ma binti ambao wako Dakika za majeruhi wanakaribia kuinusa miaka 30 wana kiu kali ya ndoa, ukiwa nae kimahusiano hata kama mahusiano mabichi yana wiki mbili ataanza kauli za kuhusu ndoa, wako desperate sana. Yuko tayari kukupiga hata limbwata akuteke.
Ila huwezi kuniambia huna hope, you must be having a serious relationship by now na Prospect wako.Inategemea "ntu na ntu" binafsi niko na thirty two yangu safi kabisa na hakuna kitu cha kunifanya niwe desperate as long as nakula nashiba na kulala kwa amani.
Gari hana huyo labda apigwe mawe ya kichwa 😆😆😆Huu ugomvi wa mawe ulioanzisha hakikisha umeficha gari lako kabla hujaingizwa hasara 🤣
Tuma CV yako board room ukionesha uzoefu wako wa kazi ndani ya miaka mitano ya JPM. Umedate wangapi na kwa muda gani kwa kila mmoja, picha full size isio na filter wala make ups, Plyfoam ass is strictly prohibited!Zaidi ya kutuoa hakuna kingine
Ila huwezi kuniambia huna hope, you must be having a serious relationship by now na Prospect wako.
Mambo ni tofauti kama ukiwa 30 and single huna mtu hata anekupigia simu za kipenzi zile lazma kichwa ipate moto. Hawa ndio hasa wanazungumziwa.
Af ujue acha utani we mwanamke, unamaanisha ulichokiandika hapa? Do you have a kid/kids?Sasa na mimi mbona niko miongoni mwa hao wanaozungumziwa na niko tu kawaida.
But sometimes nawish nikuwe na mpenzi, nimpendeee nimuheshimuu nimpe huba la hela yote LAKINI nikishashiba machalari nikashushia na loshoro woiii nasahau kila kitu najikuta siku imeisha, still single and the circle continue 💃