Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,513
- 9,553
huoni kasema wanaume wapo wengi?Yupo sawa.
Hata ktk mambo ya uzazi chances ya kuzaliwa mtoto wa kiume ni ndogo sana.
Unaweza kusema kuzaliwa mtoto wa kiume ni bahati tu.
huoni kasema wanaume wapo wengi?Yupo sawa.
Hata ktk mambo ya uzazi chances ya kuzaliwa mtoto wa kiume ni ndogo sana.
Unaweza kusema kuzaliwa mtoto wa kiume ni bahati tu.
Jua linasoma saa tisa hao. Bado masaa matatu lizameIvi na hao wanaokaribia thirty wanaitwa mabint![]()
Niko na two kids, afu kila Toto na baba ake 😆😆Af ujue acha utani we mwanamke, unamaanisha ulichokiandika hapa? Do you have a kid/kids?
Fanya fanya upate Mr. bana life is so boring bila stress za mpenzi sometimes. Ila pisi za chuga huwa wagumu gumu flani 🤣🤣🤣 kwa wazee tunaomaindi mambo ya kifilipino huwa mtihani kidogo.
Unawanyima watoto haki za msingiNiko na two kids, afu kila Toto na baba ake
Hahaha huku ni chuga sasa sio ufilipino.
Wazii!!! Aiko kwere mama la mama😂Niko na two kids, afu kila Toto na baba ake 😆😆
Hahaha huku ni chuga sasa sio ufilipino.
at 20...Awe tajiri,handisam,mweupe,six pack,mrefu,mcha mungu etcMa binti ambao wako Dakika za majeruhi wanakaribia kuinusa miaka 30 wana kiu kali ya ndoa, ukiwa nae kimahusiano hata kama mahusiano mabichi yana wiki mbili ataanza kauli za kuhusu ndoa, wako desperate sana. Yuko tayari kukupiga hata limbwata akuteke.
MmmhInategemea "ntu na ntu" binafsi niko na thirty two yangu safi kabisa na hakuna kitu cha kunifanya niwe desperate as long as nakula nashiba na kulala kwa amani.
Well said.Inategemea "ntu na ntu" binafsi niko na thirty two yangu safi kabisa na hakuna kitu cha kunifanya niwe desperate as long as nakula nashiba na kulala kwa amani.
Ujana wale na wengine kulea walee na wengine???Hawana muda wa kupoteza.
Inategemea "ntu na ntu" binafsi niko na thirty two yangu safi kabisa na hakuna kitu cha kunifanya niwe desperate as long as nakula nashiba na kulala kwa amani.





huendi mbinguniKwamba tusiolewa hatuendi mbinguni au 😅😅huendi mbinguni
Hilo sijasemaKwamba tusiolewa hatuendi mbinguni au![]()
Sasa kwanini ulisema mie siendi mbinguni?Hilo sijasema
Bado hujashtuka wewe ngoja iko siku yakoInategemea "ntu na ntu" binafsi niko na thirty two yangu safi kabisa na hakuna kitu cha kunifanya niwe desperate as long as nakula nashiba na kulala kwa amani.