Mabinti wanaoikaribia 30 wana kiu kali ya ndoa

Mabinti wanaoikaribia 30 wana kiu kali ya ndoa

30s ndio wazuri kuoa, wamekomaa kiakili, washamaliza starehe zote wapo tayari kujenga maisha na wenza wao,
Me mwenyewe nasubiri tufike 30s ndio tufunge ndoa, sasa hivi acha tule maisha kwanza.
Sasa bibie....kama 30s kamaliza starehe zote Sasa huyo ndoa tena kwake ya nn..Mana ndoa starehe
 
Acha wawe nayo, maana kama ni ya maji wameshakunywa mengi tuu mkuu, wakipata ya ndoa sio mbaya.
 
Hao wengi wao wako desperate..me huwa nawagegeda afu napita hivi na mia..
 
Back
Top Bottom