mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,697
- 9,051
Kumbe hujaolewa bado naomba nikuoeInategemea "ntu na ntu" binafsi niko na thirty two yangu safi kabisa na hakuna kitu cha kunifanya niwe desperate as long as nakula nashiba na kulala kwa amani.
Kumbe hujaolewa bado naomba nikuoeInategemea "ntu na ntu" binafsi niko na thirty two yangu safi kabisa na hakuna kitu cha kunifanya niwe desperate as long as nakula nashiba na kulala kwa amani.
Usiwafokee Sasa,hakuna asiependa kuolewa.Ma binti ambao wako Dakika za majeruhi wanakaribia kuinusa miaka 30 wana kiu kali ya ndoa, ukiwa nae kimahusiano hata kama mahusiano mabichi yana wiki mbili ataanza kauli za kuhusu ndoa, wako desperate sana. Yuko tayari kukupiga hata limbwata akuteke.
Hahahahaha hili swali limenifurahisha sanaNini kifanyike?
Hata hivyo amesema wanaokaribia 30, Sasa wewe ushavuka haumo kwenye kundi analoongelea.Inategemea "ntu na ntu" binafsi niko na thirty two yangu safi kabisa na hakuna kitu cha kunifanya niwe desperate as long as nakula nashiba na kulala kwa amani.
Wanakuwaga na viburi pale mwanzonimwanzoni chuchu bado zimesimama, zikianza kulala akili ndo inarudi
View attachment 1560972

Lipia tangazo mkuuAge: 33
Kazi: Fundi Mchundo na Uchekeshaji
Elimu: Diploma
Ukwasi: $1,023
Dini: Kanisa Katoliki la Mitume
Hobby: Vichekesho.
Usafiri: Phoenix bicycle
Makazi: Chumba na Sebule (Nyuki)- Nime-arrange aka kupanga.
Mdada chini ya umri huo tuwasiliane tufaidi huo ukwasi wangu na kujenga familia.
Kucomment tu hapa inaonyesha jiwe limekupata huko gizani ambapo mwandishi wa uzi alirusha kuelekea upande uliopo jua lilipozama.Inategemea "ntu na ntu" binafsi niko na thirty two yangu safi kabisa na hakuna kitu cha kunifanya niwe desperate as long as nakula nashiba na kulala kwa amani.
Dada naomba nichukue hili neno "Amani" nikalifanyie utafiti laboratory.Inategemea "ntu na ntu" binafsi niko na thirty two yangu safi kabisa na hakuna kitu cha kunifanya niwe desperate as long as nakula nashiba na kulala kwa amani.
Wakisha kwama na hawana ujanja viburi kushiney huwa wanabakia na maneno ya jeuri tu ila vitendo zero.utakuwa single mama wewe, hauna pa kukimbilia tayari.
Tuache kuchukua visukwa watoto wapya wamemaliza form six juzi tu hapa, tubebe madudu yana milage 200,000 km. Aseeeeeeeeeeeee mwaisa, sokapohapa.....Inabidi waandamane ijulikane kabisa kama wanahitaji ndoa kuliko kitu kingine ili wanaume wenye nia za kuoa zaidi ya mara moja wajichagulie .
30 ndugu..... Seriously.... Binti awe na 30?!Ivi na hao wanaokaribia thirty wanaitwa mabint![]()
Ha ha ha ha ha ha najua kuna mtu ulimsumbua kipindi fulani now balaa lake unaliona..... Na maringo kushiney.... Hapo utaishia kuwa mdangaji na msagaji tu.. Pole sanaDamn true and I do not care.
Wasumbufu sana hawa waliwa bado kwenye mng'ao. Wanataka kila mwanaume awape attention hawataki kutulia.... .....wakishachoka ndio wanatuletea.....Hivi kwa nini mabinti, wanawake wanakosa wa kuwaoa, ilhali sensa zinaonyesha wanaume walio juu ya Miaka 18 ni wengi kuliko wanawake.
Nilidhani wanaume ndio wangekosa wanawake wa kuwaoa. Kwasababu supply ni ndogo kuliko demand ya wanawake.
Unaonyesha wazi kabisa huna umri huo, subiri ufikishe umri huo, kama utaandika haya maneno. Wenye umri huo hawasemi maneno hayo.Inategemea "ntu na ntu" binafsi niko na thirty two yangu safi kabisa na hakuna kitu cha kunifanya niwe desperate as long as nakula nashiba na kulala kwa amani.
Na bado, watajuta sana.... Kwasasa waache waendelee ila ndio tunaelekea huko mbeleni ambapo kuna shida mara mbili ya hii....Mawazo yako yangekuwa sawa na wazazi waliokuleta duniani sidhani kama tungepata nafasi ya kuwa na wewe hapa jukwaani.
Mawazo finyu ya single mama ni shehemu ya mfumo unaoigandamiza dunia kuonekana NDOA hazina umuhimu kwa sasa.
Hapo kanachezea mboo za kila aina kanajifariji ngoja kaje mtaani.....Hii ni lugha nzuri sana ya kujifariji.
"Kwanza kuolewa sio lazima, Na wote walioolewa wanajuta" Alisikika mdangaji mmoja wa mitandaoni.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Hao walikuwa wanatest mitando, wana msemo wao "Hakuna kuuziwa mbuzi kwenye gunia". Wanakuja kustuka Treni imeshawaacha.Walikuwa wapi siku zote!
Ni sawa sawa na kukataa kula asubuhi na mchana. Ukiahidi kuwa hautakula maisha yako yote, na ukifika usiku tu mida ya saa nne upo jikoni unapekuwa masufuria kutafuta msosi.Sio lazima kila mtu aingie kwenye ndoa.We have a different perspectives of life for me freedom is better than being stuck at home growing a child au sio wadada wa jf kwani mnataka kuolewa?