nawezekana kabisa ikawa ni salama
lakini inawezekana pia kuwa sio salama
akawa anapelekwa kujiuza huko kwa kujua au kutokujua...
Kujiuza ni uamuzi wa mtu .
Kujiuza ni uamuzi wa mtu .
nawezekana kabisa ikawa ni salama
lakini inawezekana pia kuwa sio salama
akawa anapelekwa kujiuza huko kwa kujua au kutokujua...
wanawake wengi wanadhalilishwa sana oman na wengine wakishafika documents zao za kusafiri zinafichwa halafu wanendelea kuwa ma-slaves wa ngono na kazi za ndani!
Sasa kazi ya kupaka hina form four leaver atashindwa kuifanya kweli? au una wasiwasi na kitu kingine?
Mimi nina ndugu yangu yuko huko kaenda kufanya kazi za ndani, nilifika oman mwezi wa kumi kwa masaa machache japo nilimueleza juu ya ujio wangu aligoma kuja kunisalimia baada ya kudadisi nilichoambiwa wanayoyafanya hawa mabinti huko sababu na mimi nilikuwa na matatizo yangu nilimshukuru Mungu kwa kila kitu.
Sio uamuzi!! ni amazingira sometimes mtu anakuwa subjected to na hana njia! mfano akifika anakuta kila mtu ndo baishara na wanamuonesha pesa, na hawamsaidii!! unataegemea nini afanye uamuzi gani, ama hata akiktaa anakuwa raped!!
Wasiwasi wetu ni kua je itakua kweli ni hina tu au ndo mwamvuli wa kufanyia ufirauni mwingine!
Kujiuza ni uamuzi wa mtu .