sio wanawake tu hata kwenu kama ni maskini hata kutoa ushauri hawataki wanakuita mleta fujo.Wana dharau sana hawajui kusalimia mtu. Na ukiona kakusalimia jiandae basi kuombwa msaada. Ni lazima ama kapotea anataka umwelekeze au kakwama nauli anataka umesaidie...
Mi huwa nawatazama kwa dharau hivohivo kisha nasepa zangu.
ndo gia yake ya kuomba namba jamani.Wewe salamu inakuongezea nini?
kumbe ndo lengo lake katoka mkoani anataka kula busyuuu trakatifuuu, atasubiri mpaka aote mizizi2 Wakorintho 13:12
Salimianeni kwa busu takatifu.
NonesenceWana dharau sana hawajui kusalimia mtu. Na ukiona kakusalimia jiandae basi kuombwa msaada. Ni lazima ama kapotea anataka umwelekeze au kakwama nauli anataka umesaidie...
Mi huwa nawatazama kwa dharau hivohivo kisha nasepa zangu.
Bila shaka wewe ni mmoja wao.Wewe salamu inakuongezea nini?
Nitakusalimia labda nikikwama nauli
Kiongozi. We unapita husalimii unaenda mbele huko unakwama eti unarudi kwangu? serious?kabisa mkuu kukusalimia ni uwamuzi wa mtu akisalimia akuongezei kitu akinyama akupunguzii kitu
Sawa. Mkikwama msisumbue watu sasa mwendelee kufikiria hizo kodi.Mjini kila mtu anawaza atasurvive vipi (Kodi,Pesa ya maji,umeme etc ) ukianza kuwaza hujasalimiwa utateseka sana dasalamu Mkuu
We kama mgeni hapa mjini utapata shida sana,kutafuta heshima nenda huko vijijini utasalimiwa hata kwa kupigiwa magoti,endelea kupenda kusalimiwa tu kuna siku utajikuta mtaroniSawa. Mkikwama msisumbue watu sasa mwendelee kufikiria hizo kodi.
Wana dharau sana hawajui kusalimia mtu. Na ukiona kakusalimia jiandae basi kuombwa msaada. Ni lazima ama kapotea anataka umwelekeze au kakwama nauli anataka umesaidie...
Mi huwa nawatazama kwa dharau hivohivo kisha nasepa zangu.
Wana dharau sana hawajui kusalimia mtu. Na ukiona kakusalimia jiandae basi kuombwa msaada. Ni lazima ama kapotea anataka umwelekeze au kakwama nauli anataka umesaidie...
Mi huwa nawatazama kwa dharau hivohivo kisha nasepa zangu.
ItakuwaBila shaka wewe ni mmoja wao.
safi sana we dada ntakupa zawadiWewe salamu inakuongezea nini?
I'm tryna steal your love, I'm guilty of itYani unaforce salamu muda huo tunafahamiana au niaje?