Mabinti wa Dar: Ukiona Kakusalimia...

Wana dharau sana hawajui kusalimia mtu. Na ukiona kakusalimia jiandae basi kuombwa msaada. Ni lazima ama kapotea anataka umwelekeze au kakwama nauli anataka umesaidie...

Mi huwa nawatazama kwa dharau hivohivo kisha nasepa zangu.
Hasa vile visichana vimbaumbau ambavyo vinatembelea mikono badala ya Miguu. Siyo dharau tu bali Wana roho mbaya sana. Dharau zao hutokana na INFERIORITY COMPLEX.
 
Dar utasalimia wangapi,labda utembee na Maji make kila sekunde 50 unapishana na MTU.
Isitoshe huwa hakuna cheti cha nidhamu so wakati mwingine unakausha.
 
Ni hivi usiposalimia, its okay, hamna mbaya ila usinipie ukaenda huko mbele ukanasa hlf unarudi kwangu kama sanamu na salamu zako, imekula kwako.
 
Back
Top Bottom