Mabinti wa Dar: Ukiona Kakusalimia...

Mabinti wa Dar: Ukiona Kakusalimia...

Kuna watu wanapenda kusalimiwa utafikiri inaongeza salio kmy account
 
Kama hawakusalimii basi wasalimie wewe..
 
Dar uwa hatusalimiani ovyo ovyo kama mikoani. Huku kila mtu ana mambo yake. Salaam tunasalimiwa usiku na watangazaji wa taarifa ya habari
 
Salamu hajaumbiwa binadamu kimakosa, huleta upendo na heshima.
 
Wana dharau sana hawajui kusalimia mtu. Na ukiona kakusalimia jiandae basi kuombwa msaada. Ni lazima ama kapotea anataka umwelekeze au kakwama nauli anataka umesaidie...

Mi huwa nawatazama kwa dharau hivohivo kisha nasepa zangu.
Hao dawa yao kuwakuna tuu
 
Back
Top Bottom