Mabinti hembu kuweni wakweli kuhusu watoto! !

Mabinti hembu kuweni wakweli kuhusu watoto! !

kama baba naye ni kanjibhahi unasemaje kuhusu hilo
 
hivi leo dada yangu mbona tumekutana na mada za kutuchanganya? Kuna nini? Ingekuwa j3 ningesema hangover lakini j4 kweli kuna hangover?

Hahaha jamaa wanashambuli vibaya tutaenda nao hivyohivyo mpaka isomeke
 
This is JF.........haiwezekani wote tuwe tunafikiria sawa........

wengine wameenda beyond.....let say ME nimejiuliza mtoa mada

ametumia criteria gani kujua kuwa yule dada anadanganya!!!!!!

kusikiliza tu maongezi then una jump into CONCLUSION!!!!!!!!!!!!!!!!

mtoto yuko kama kanjibhai what if huyo alokuwa anaongea nae pia ni Kanjibhai........

inawezekana alikuwa na nia njema ila uwasilishaji wake namna ulivyo lazima mtu uwasilishe concern zako!!!

Sista una mwaga povu mbaya, mbona mada nshaeleza kwamba akiongea na simu, simply, sasa criteria gani unaitaka wakati this is just phone conversation! ! Labda una stress bidada!
 
Kwanza, nikupe hongera nikupe hongera kwa kujaaliwa mtoto!
Pili, nadhani ungandaa thread yako ili kuleta mada ilokaa vizuri, hapa umeonekana kuletavmambo ya watu usowafahamu hata chembe, it's not health broda...
Ila pongezi sana kwa kujaaliwa mtoto!
Thanks for showing true color, infact the sredi is coming soon! ! Naona umeamua kuwa mkali may be the way nilivuoexpress it anyway nimesomeka kiaina! !
 
mtoa mada umeniacha hoi mwee so baba wa mtoto unamjua?

Ungenisoma vizuri kidogo, baba wa mtoto simfahamu Lakini kwanini yule binti kasema kwamba mwenye baba amekimbia kwa kudai mtoto sio wa kwake? Hapo ndio mada inapoanzza
 
mwanaume unakuwa mbeambea na mshakunaku,maongezi ya watu yanakuhusu nini mpaka unawashwawashwa kuleta hapa JF




Ahsante mamachichi kumbe upo hivi? Njoo unikune basi kama nawashwa! !
 
wanaume mjiamini bana, mkiwa mnasex mnaona raha utamu ila matokeo mnayakataa. mtakuwa mnakataa damu zenu mpaka lini? kama huna mpango wa mtoto na unahisi kubambikiwa mimba si mtumie kinga!

Lakini mama si ndio anajua mtoto ni wa nani sasa kwanini asiweke wazi,
 
Sista una mwaga povu mbaya, mbona mada nshaeleza kwamba akiongea na simu, simply, sasa criteria gani unaitaka wakati this is just phone conversation! ! Labda una stress bidada!

Sina stress kaka it was just me expressing my CONCERN!!!!!!!

Ulitaka wote tuwaze sawa,,,,,,you should accept challenges from others

by the way nimechoose kukuelewa ......hamna shida hata..........
 
kazi unayo mkuu! leo tena kasikilize maongezi kwenye daladala utuletee stori kesho au vipi?
Habari zenu MMU!
Jana nipo ndani ya daladala nyerere road-kariakoo kulikuwa na dada mmoja nimekaa nae kabeba mtoto mapajani huku anabofyabofya simu, baada ya dakika chache akawa anaongea na mwenzake kwa simu, ingawa maongezi yake yalikuwa yanakatikakatika kutokana na uhaba wa vocha na networks lakini niliweza kuunganisha some dots.

Kiufupi yule dada akimzungumzia mshkaji wake akisema "Unajua mtu mwenyewe simuelewi ameamua kukimbia, eti anasema huyu mtoto sio wake, kama juzi alikuja akaniomba ela elfu10nikampa, sasa yeye badala ya kukaa tukaongea ye anaamua kukimbia! !".

Kwa ufupi hiyo ndio ilikuwa main contents ingawa simu ilikuwa inakatakata. sasa mimi nikaamua nigeuke vizuri ili kumwangalia yule bebito, aisee ni kama ana miezi 4 au 5 hivi, kwanza mtoto ana kiwalaza kichwani, halafu keupe flani na nywele zake ni half-partial kanjibhai! ! Dah nouma sana!! Yani hata ningekuwa mie ningetoka nduki aisee! !

Mi nina imani ni mama mwenyewe ndo anajua siri ya baba wa mtoto, sasa kwanini asiwe mkweli? Na hata yule dada theway akivyoongea, ni full changalamacho! !

Yaonyesha watoto wengi ni wa kubambikiwa kwenye familia zetu yani! !
 
Thanks for showing true color, infact the sredi is coming soon! ! Naona umeamua kuwa mkali may be the way nilivuoexpress it anyway nimesomeka kiaina! !

Asante nawe kwa kuelewa...
Enenda kwa amani na jioni pakata kichanga chako, furahia kazi ya Mungu. Pamoja mkuu!
 
Sina stress kaka it was just me expressing my CONCERN!!!!!!!

Ulitaka wote tuwaze sawa,,,,,,you should accept challenges from others

by the way nimechoose kukuelewa ......hamna shida hata..........

Mia mia! !
 
Sizinga mimi nina swali moja;
ulijuaje kuwa huyo jamaa anayezungumziwa katimua siyo kanjibhai?
 
Last edited by a moderator:
Mtot kakosa nini sasa........si mnaona mawazo yenu looh.....

Inasikitisha sana I hope ur not SERIOUS why hurting the KID.........

he is Innocent he doesnt even know what the hell is going on in the WORLD!!!!!!!

REALLY U SURPRISED ME!!!

nami nawapatiliza maovu ya baba zao na mama zao.
hata wayahudi walipotaka kumuua yesu walisema dhambi hii naiwe juu yetu na watoto wetu
 
Ndio mumpashe dume mwenzenu.
Ataja valishwa dera.

huyo dera keshavaaa mbona anaona fahari huyo mume mwenzake kukimbia kutoka nduki ila hakuona haya huyo mume kwenda kuomba elfu kumi ungali anadai mtoto si wake.so mtoto sio wake ila pesa ndo zake ndivyo?huo ni upeo finyu na uvivu wa kufikiri ndo maana anapata muda wa kusikiliza maongezi ya watu then anayaleta kwenye mtazamo hasi.jamani huyo hapo ndo mwisho wa ufahamu wake hapo
 
Habari zenu MMU!
Jana nipo ndani ya daladala nyerere road-kariakoo kulikuwa na dada mmoja nimekaa nae kabeba mtoto mapajani huku anabofyabofya simu, baada ya dakika chache akawa anaongea na mwenzake kwa simu, ingawa maongezi yake yalikuwa yanakatikakatika kutokana na uhaba wa vocha na networks lakini niliweza kuunganisha some dots.

Kiufupi yule dada akimzungumzia mshkaji wake akisema "Unajua mtu mwenyewe simuelewi ameamua kukimbia, eti anasema huyu mtoto sio wake, kama juzi alikuja akaniomba ela elfu10nikampa, sasa yeye badala ya kukaa tukaongea ye anaamua kukimbia! !".

Kwa ufupi hiyo ndio ilikuwa main contents ingawa simu ilikuwa inakatakata. sasa mimi nikaamua nigeuke vizuri ili kumwangalia yule bebito, aisee ni kama ana miezi 4 au 5 hivi, kwanza mtoto ana kiwalaza kichwani, halafu keupe flani na nywele zake ni half-partial kanjibhai! ! Dah nouma sana!! Yani hata ningekuwa mie ningetoka nduki aisee! !

Mi nina imani ni mama mwenyewe ndo anajua siri ya baba wa mtoto, sasa kwanini asiwe mkweli? Na hata yule dada theway akivyoongea, ni full changalamacho! !

Yaonyesha watoto wengi ni wa kubambikiwa kwenye familia zetu yani! !

yaani wewe hata wanawake hawawi wambea kama wewe,na mbali ya umbea tu hata uwezo wako wa kufikiri umekuwa finyu na ndo maana umepata muda wa kusikiliza maongezi ya watu kwenye simu hukutosheka utaubeaba umbea wako na kuumwaga jf na kuonyesha ni jinsi gani ufahamu wako ulipoishia ndo maana unakuja kusapoti ujinga ulio ndani ya kichwa chako kama huyo mume alotoka nduki baada ya kupokea pesa kwa mdada.mwanaume mwenye majukumu na na kazi za kufanya hasingepata muda wa kusikiliza maongezi yale na kwakuwa masikio hayana milango basi hasingechukulia mada yako kama ulivyochukulia wewe ambaye huyui mwanzo wa mazungumzo yao wala mwisho wake ukabeba tu kama walikuwa wanamzungumzia mtu mwingine je?mwanaume kuwa na mawazo ya kiume
 
Back
Top Bottom