Mabinti hembu kuweni wakweli kuhusu watoto! !

Mabinti hembu kuweni wakweli kuhusu watoto! !

Habari zenu MMU!
Jana nipo ndani ya daladala nyerere road-kariakoo kulikuwa na dada mmoja nimekaa nae kabeba mtoto mapajani huku anabofyabofya simu, baada ya dakika chache akawa anaongea na mwenzake kwa simu, ingawa maongezi yake yalikuwa yanakatikakatika kutokana na uhaba wa vocha na networks lakini niliweza kuunganisha some dots.

Kiufupi yule dada akimzungumzia mshkaji wake akisema "Unajua mtu mwenyewe simuelewi ameamua kukimbia, eti anasema huyu mtoto sio wake, kama juzi alikuja akaniomba ela elfu10nikampa, sasa yeye badala ya kukaa tukaongea ye anaamua kukimbia! !".

Kwa ufupi hiyo ndio ilikuwa main contents ingawa simu ilikuwa inakatakata. sasa mimi nikaamua nigeuke vizuri ili kumwangalia yule bebito, aisee ni kama ana miezi 4 au 5 hivi, kwanza mtoto ana kiwalaza kichwani, halafu keupe flani na nywele zake ni half-partial kanjibhai! ! Dah nouma sana!! Yani hata ningekuwa mie ningetoka nduki aisee! !

Mi nina imani ni mama mwenyewe ndo anajua siri ya baba wa mtoto, sasa kwanini asiwe mkweli? Na hata yule dada theway akivyoongea, ni full changalamacho! !

Yaonyesha watoto wengi ni wa kubambikiwa kwenye familia zetu yani! !
Hayo ndio uloyafata kwenye Dala dala eeh?
kuchunguza nani anaongea nini ukaunganisha dots,looh asara yako mkodombwe...
 
Mbona watoka povu mkuu.
Unakumbuka ulivobambikiwa?

Just nina imagine jinsi nilivyoilea mimba ya ma wife halafu at the end nakuta kimeo, how real pains? ? Siezi vuja povu just reality
 
Sizinga mada yako iko relevant ila jinsi ulivyoileta... inakera! Iko kimipasho zaidi, kusikiliza maongezi yasiyokuhusu kwenye daladala au kusoma conversation za watu si busara!

The real thing ni kwamba Nimetoka juzi tu hospital kumuuguza ma wife ambaye namshukuru Mungu amejifungua salama mtoto wa kike (nitaanzisha sredi kuwaashukuru kwa mixhango yenu) kwahiyo lengo halikuwa kumsiluza yule binti, bali kwajinsi nilivyotoka hospital na kujua reality ya shida zotwiksnibidi nijiulize sana hayo mskitu
 
Last edited by a moderator:
Sizinga mada yako iko relevant ila jinsi ulivyoileta... inakera! Iko kimipasho zaidi, kusikiliza maongezi yasiyokuhusu kwenye daladala au kusoma conversation za watu si busara!

Kuna watu ni wakuda kwenye daladala looh....

akiona text huyo macho Kodo kwenye screen lol......
 
Hayo ndio uloyafata kwenye Dala dala eeh?
kuchunguza nani anaongea nini ukaunganisha dots,looh asara yako mkodombwe...

hahaaaa nimecheka sana aiseee.......
Sizinga sasa kwa kumuangalia tu yule dada ukajua changa la macho

ulitumia criteria gani kuja na hiyo Conclusion.......

halafu what if huyo alokuwa anaongea nae ni half Kanjibhai....
 
Last edited by a moderator:
Hawa ndo ukikaa nao kiti kimoja wakiona unachat na mtu hawaishi kuangalia sms zako... yani saivi wanaume tumejaa maneno kuliko hata wanawake!

hili tatizo limeanza kipindi wanaume walipoanza kufanya kazi za salon (kusuka na kuwa-bond nywele wanawake)

Mtu anaongea na simu, we unasikiliza maongezi yake ili iweje? Na baada ya kusikiliza, nani kwakwambia uje hapa utusirikishe umbea wako. YAHAYA sio vizuri - MWANAUME KAMA BINTI.
 
mamaaa lengetee wou daakei.....che!!usikute nanginyii sio wangu.dawa ya moto maji......
 
Kuna watu ni wakuda kwenye daladala looh....

akiona text huyo macho Kodo kwenye screen lol......
Sio kosa lao, hayo ni matokeo ya jamii kupuuza elimu, kiu ya watu inakuwa si kukuza ufahamu na kupata maarifa mapya bali kusikiliza ''ubea na mambo yasiyotuhusu''. Ajira ziongozwe ili watu wawe ''bise''.
 
Join Date : 30th October 2007
Location : Mars
Posts : 4,353
Rep Power : 1532
Likes Received1643
Likes Given1816

JAMAA LIONGO ETI LIKO MARS - HIVI MARS KUNA DALADALA KWELI?
 
Mara ngapi hapa mada Zinaletwa mara mtu alikuwa saluni akasikia hiki, au alikuwa bar akaleta hiki...nk nk, nashangaa leo wana MMU wamekuwa wagenni wananiita m-mbeya, nakodolea msg na majungu kibao, sasa kama mtu kaongea kwa simu mi ningefanyaje? Hembu kuweni smart Smtms! !
 
Habari zenu MMU!
Jana nipo ndani ya daladala nyerere road-kariakoo kulikuwa na dada mmoja nimekaa nae kabeba mtoto mapajani huku anabofyabofya simu, baada ya dakika chache akawa anaongea na mwenzake kwa simu, ingawa maongezi yake yalikuwa yanakatikakatika kutokana na uhaba wa vocha na networks lakini niliweza kuunganisha some dots.

Kiufupi yule dada akimzungumzia mshkaji wake akisema "Unajua mtu mwenyewe simuelewi ameamua kukimbia, eti anasema huyu mtoto sio wake, kama juzi alikuja akaniomba ela elfu10nikampa, sasa yeye badala ya kukaa tukaongea ye anaamua kukimbia! !".

Kwa ufupi hiyo ndio ilikuwa main contents ingawa simu ilikuwa inakatakata. sasa mimi nikaamua nigeuke vizuri ili kumwangalia yule bebito, aisee ni kama ana miezi 4 au 5 hivi, kwanza mtoto ana kiwalaza kichwani, halafu keupe flani na nywele zake ni half-partial kanjibhai! ! Dah nouma sana!! Yani hata ningekuwa mie ningetoka nduki aisee! !

Mi nina imani ni mama mwenyewe ndo anajua siri ya baba wa mtoto, sasa kwanini asiwe mkweli? Na hata yule dada theway akivyoongea, ni full changalamacho! !

Yaonyesha watoto wengi ni wa kubambikiwa kwenye familia zetu yani! !

kaka embu nyamaza hivyo hivyo cuz kuna binti mmoja nipo nae kaniambia ana mimba km ya mwezi mmoja hivi, mimi nina amin niya kwangu ila marafiki wananiambia nichukue tahadhari cuz mabinti wa siku hizi hawaaminiki ata kidogo, hivyo kulea mtoto asiye wako mbona kitu simple.
 
Join Date : 30th October 2007
Location : Mars
Posts : 4,353
Rep Power : 1532
Likes Received1643
Likes Given1816

JAMAA LIONGO ETI LIKO MARS - HIVI MARS KUNA DALADALA KWELI?

Be smart mkuu, mbona we ni wa kitambo hapa, etlist maveterani tuwe tunaheshimiana bro! ! Kwahiyo hujaona chochote cha kuchangia kweli? Anyway labda unazeeka vibaya! !
 
Mkuu nyoosha maelezo kidogo!
Be direct bhanaa!!!
Sema wanaume WENGINE akiwemo mtoa mada! Wamekua vimeo!
Naamini wewe huna mapigo haya!!!
...
This is 1 among the result of Bad bring up! Boys and girls to be treated equal!!!!

Hawa ndo ukikaa nao kiti kimoja wakiona unachat na mtu hawaishi kuangalia sms zako... yani saivi wanaume tumejaa maneno kuliko hata wanawake!
 
kaka embu nyamaza hivyo hivyo cuz kuna binti mmoja nipo nae kaniambia ana mimba km ya mwezi mmoja hivi, mimi nina amin niya kwangu ila marafiki wananiambia nichukue tahadhari cuz mabinti wa siku hizi hawaaminiki ata kidogo, hivyo kulea mtoto asiye wako mbona kitu simple.

Bro chukua tahadhari zote manake kuanza kulea mimba mpaka ajifungue si inshu ndogo, kuna binti mmoja huku kitaa alikuwa na mshkaji wake, yule dem alivyoenda chuo akawa na date na mtu mwingine akapewa mimba huko dem alivyorudi akaolewa na yule mshkaji na kuanza kulea mimba akijua ni ya kwake! !! Ila watu wa nje wanajua
 
Back
Top Bottom