Andunje Mdogo
Senior Member
- Sep 17, 2013
- 118
- 39
Mimi nilikuwa na demu,baada ya kuchuniana kwa muda wa mwaka mmoja na nusu,akaja home na mimba,bahati mbaya akakuta muzetya nimetuliza mutoto gheto,na ana mimba changa.Alitoka mkuku halafu akaanza kutuma sms kudai kwamba alishawaambia home kwao kwamba mimba ni ya kwangu,nilimshangaa kidogo nimtukane na kumuuliza hiyo miba iliingia kwa uwezo wa roho mtakatifu au?????Ila in Short Demu wangu yule alikuwa katili,kwa sababu alifanya vile akijua kwamba mimi nilimpenda kupita kiasi,kwa hiyo alidhani kwamba akija na mimba yake basi nitakuwa nimesahau makosa aliyonitendea na kumwonyesha LOVE kama zamani!!!!For sure kama angekuja mtupu bila tumbo nilikuwa tayari kumwacha wa sasa na kumchukua YEYE,lakini kwangu kuja na MIMBA ya mtu mwingine ni DHARAU kubwa sana.Je wadada mnasemaje???????