Mabilioni ya MCC: Tanzania 'kitanzini' March 28

Mabilioni ya MCC: Tanzania 'kitanzini' March 28

Kwani wakati hizo pesa tunapwa hao wazzazi wetu vijijini walikuwa matajiri?...kama ni dawa na madawati kwa mtindo wa kubana matumizi, na kuondoa malipo hewa tutaweza jisimamia wenyewe, tukitumia raslimali zetu vyema, tutaweza, tusipopewa itakuwa ni kheri itasaidai viongozi kuumiza kichwa kuweza kutumia raslimali tulizo nazo, lakini sio kupewa pesa za masharti na manyanyaso kwahiyo tukipewa sharti la kupitisha ndoa za jinsia moja ndo tupewa hizo hela itabidi tutekeleze kisa hatuna madawa??? halafu unadai mabadiliko kwa akili hizo za kuomba omba au kutegemea kusaidiwa.
MCC kuna mambo ya ndoa ya jinsia moja?Masharti yao yakoje?Masharti yako wazi?
 
Jumatatu ya pasaka ya tarehe 28 mwezi huu,mkutano wa Bodi ya Wakurugenzi wa Millenium Challenge Corporation almaarufu kama MCC inakutana kuijadili Tanzania. Tanzania itajadiliwa kama ipewe au isipewe mabilioni ya MCC.

Nyaraka za shirika hilo zinaonesha kuwa Tanzania ilipewa masharti mawili ili iyapate mabilioni hayo. Kwanza,Tanzania ilitakiwa kupambana na rushwa pamoja na ufisadi. Pili,Tanzania ilitakiwa kuumaliza mgogoro wa kikatiba na kisiasa wa Zanzibar.

Tanzania itapata mabilioni ya MCC? Imetimiza masharti?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Pemba,Zanzibar)
Mimi binafsi sijapenda na sitakaa nipende, maana ccm walichofanya zanzibar ni ubakaji wa democrasia, sikatia kama uchaguzi ulikuwa wa haki na huru juzi ila ninavyotaka kusema uchaguzi ule haukuhitajika? Maana ccm walishashindwa! Hilo matokeo yake watayapata muda si mrefu kuwa nn wanzanzibar hawajafurahishwa nacho, hilo nawaachia wazanzibari.
Turudi kwenye issue ya MCC, kwa hilo sikuungi mkono hata kidogo, ndugu yangu hakuna kitu kibaya kama vha kupewa ni matesso, sisi wtz tuendelee kumwombea magufuli aendelee kubana matumizi na sisi wananchi tuwe balozi wake ili ifike mahala tuweze kupata chetu hata kama ni kidogo tuweze kufanya nacho investment.
Nilimshangaa yule mkwere aliyesema huko nje wana mapesa mengi ati issue ni ww kuomba tu, jamani wazo kama hayo ni ya kipumbavu sana, kama hawataki kutupa MCC yao waache ndio la zanzibar nakubali ni kosa ila wasilitumie kama kigezo cha kutunyanyasa.

MAGUFULI AKIJITAHIDI TUTATESEKA KAMA MIAKA MIWILI TU, THEN FROM THERE TUTAPAA, BUDGET TUTAKUWA TUNAIRUN KWA SILIMIA ZAIDI YA SABINI NA HIYO CHACHE TUTAKOPA BILA SHARTI LA KISIASA BALI SHARTI LITAKUWA NI RIBA.

TUFIKE MAHALI WAZO LA OMBAOMBA LIFE, LINAKERA SANA
 
hiyo misaada yeneywe hawatoi bure kuna faida wanayopata pia kupitia migongo yetu lol.. wacha wabaki nazo, tuone kama tutakufa. mboan Zimbabwe hawafi.
Haaa haaa eti mbona Zimbabwe hawafi?Zimbabwean are living dead na wanapata misaada kibao kutoka China, Iran na mafuta yao yote vikwazo vinawaliza sembuse sisi?Lets wait n see maana afadhali kukosa MCC kuliko vikwazo
 
Bora wasitupe hiyo pesa kwani zikija zinaishia kwenye miradi ya ki Escreo
 
Back
Top Bottom