Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,515
- 42,646
Haya katumie masaburi hayo hapa hatuhitaji...Tehe tehe teh vijembe unaviweza bibie.
Haya katumie masaburi hayo hapa hatuhitaji...Tehe tehe teh vijembe unaviweza bibie.
Haya katumie masaburi hayo hapa hatuhitaji...
Wanaokuhamsisha na god gvernance waulize kule Guantanamo wanatekeleza siasa hizo!!
Unafiki mtupu.
Kweli kabisa mkuu na miaka yote wanapokea misaada tena kwa kupiga magoti ila baada ya kupata kibano ndo wanajifanya hawataki tena ni wale wachovu wanaotaka udc kama LizabonAu wamwambie Magufuli atangaze kabisa kuwa hataki hiyo misaada.
Hilo halina tofauti na changudoa... Mwenye PESA ndiye humfwata....My friend, I am not defending anybody here ........... I am expressing my opinion!!
The government should have questioned that if they think it is important ......... either they should have refused to sign the deal because of their poor governance or Guantanamo bay!! ..... Not me!! When JK used to knock on their doors every month you are the same people who were defending him!! Mnafiki ni wewe ...............unayefuata upepo unaelekea wapi!!!
Wanakaa hapa kushabikia ujinga utafkiri MCC walituomba watupe misaada wakati wao ndo walienda kuomba na wakasifu sana eti Tanzania ni miongoni mwa nchi pekee zilizobahatika kupata huo msaada Leo wanaongea utumbo...Kweli kabisa mkuu na miaka yote wanapokea misaada tena kwa kupiga magoti ila baada ya kupata kibano ndo wanajifanya hawataki tena ni wale wachovu wanaotaka udc kama Lizabon
Sikushangai sisi wanawake ndo tulivyo, tuna vijembe badala ya maneno ya msingi..ni wanawake wachache sana wenye busara.Haya nenda usilete unajisi guluguja weee
Haya kaiswafi keiooo ipeleke kimboka... Then mi ni mwanaume ila vyakuvunda kama vyako situmiagi....Sikushangai sisi wanawake ndo tulivyo, tuna vijembe badala ya maneno ya msingi..ni wanawake wachache sana wenye busara.
Ha ha ha ha ha ha kumbe Mwanaume?? Mmmh, kazi kweli kweli, sijakugundua kabsaaaaa, basi maandishi yako yamekaa ki kike nilijua Mwajuma au Mariam. Na pia bado siamini kama Mwanaume hebu weka picha , nilijua naongea na demu kabsaaaaaaaaaaaaaaaa, hukukaa kiume kabsaa yani.Haya kaiswafi keiooo ipeleke kimboka... Then mi ni mwanaume ila vyakuvunda kama vyako situmiagi....
Dada hiyo nya yako inayonuka hapa haihitajiki...Ha ha ha ha ha ha kumbe Mwanaume?? Mmmh, kazi kweli kweli, sijakugundua kabsaaaaa, basi maandishi yako yamekaa ki kike nilijua Mwajuma au Mariam. Na pia bado siamini kama Mwanaume hebu weka picha , nilijua naongea na demu kabsaaaaaaaaaaaaaaaa, hukukaa kiume kabsaa yani.
Asante kwa Kunisoma, Ha ha ha ni kweli ulichoongea ila uache uongo siku nyingine kunidanganya ati wewe ni ME wakati ni KE.Dada hiyo nya yako inayonuka hapa haihitajiki...
Nilikwambia tangu mwanzo jukwaa hili huliwezi... Wengi wenu watumwa wa CCM akili zenu zipo kwenye vinyeo vyenu...
Nilikwambia tangu awali rudi kule MMU ndo size yako...
Tuachie wenye akili ukumbi usilete ukahaba wako hapa.
Ila umenifanya nicheke kweli leo. YANI MTU AKITOFAUTIANA HOJA TU NA WEWE UNAANZA KUMTUKANA ha ha ha ha ha ha ha. Ulipaswa unipinge kwa hoja na sio vioja lol, huu msemo niliupata humu jf. Ila Nashkuru kusoma comment zangu. unaonekana ni mdada mwema tu ila ndo hivyo unashindwa zuia hasira, na hiyo ni tabia yetu wanawake wengi tu.Dada hiyo nya yako inayonuka hapa haihitajiki...
Nilikwambia tangu mwanzo jukwaa hili huliwezi... Wengi wenu watumwa wa CCM akili zenu zipo kwenye vinyeo vyenu...
Nilikwambia tangu awali rudi kule MMU ndo size yako...
Tuachie wenye akili ukumbi usilete ukahaba wako hapa.
Wewe ni tarumbeta nakuona nyuzi nyingi tu ukiikuwadia CCMAsante kwa Kunisoma, Ha ha ha ni kweli ulichoongea ila uache uongo siku nyingine kunidanganya ati wewe ni ME wakati ni KE.
Yani umeniwekea Shonde kisa tu Nimecomment kuwa Serikali ya Awamu ya 5 imejipanga kutotegemea msaada kwa sana na inayo uwezo wa kutumia raslimali zake kuondosha umaskini endapo watazisimami vyema.
Halafu Nahisi kama mie nimekupita hata kwa hayo maarifa unayojitamba nayo, baadhi ya sisi wanawake yani mimi na wewe, mara chache sana tofauti zetu kuwa kubwaaaa lol.
Huwa sina muda wakujibizana kihoja na viwavi wa CCM... Nikiwaona nawapiga nyundo tuuuu.... Mmebeba usaha vichwani mwenu hoja mnazielewa wapi?Ila umenifanya nicheke kweli leo. YANI MTU AKITOFAUTIANA HOJA TU NA WEWE UNAANZA KUMTUKANA ha ha ha ha ha ha ha. Ulipaswa unipinge kwa hoja na sio vioja lol, huu msemo niliupata humu jf. Ila Nashkuru kusoma comment zangu. unaonekana ni mdada mwema tu ila ndo hivyo unashindwa zuia hasira, na hiyo ni tabia yetu wanawake wengi tu.
Mkuu bora tuendelee kupiga ramli zisitoke manake sisi kama ukawa tutadharaulika kweli...tuweke akiba ya maneno.Kweli kabisa hamna shida maana Magufuli kakusanya mapesa mengi na hivi sasa hakuna mwanafunzi anayekaa chini.. Hospitali zote zimejaa madawa na vifaa tiba hata wazazi wako si mafukara tena.
Mi naombea zitoke maana zina msaada kubwa sana kwa nchi maskini kama hii.Mkuu bora tuendelee kupiga ramli zisitoke manake sisi kama ukawa tutadharaulika kweli...tuweke akiba ya maneno.
Asante kwa Kunisoma ila nikurekebishe mie sipendi Chama napenda Viongozi, haijalishi yuko Chama gani. Tangu unanijibu Comment ya kwanza nilijua tu umenijibu vile kwasabab umenisoma mimi ni CCM, ndo maana ukaamua kunikashifu. ulitaka niponde najua kama ningetoa hoja ya kuponda serikali ungelike. pole sana.Wewe ni tarumbeta nakuona nyuzi nyingi tu ukiikuwadia CCM
Huwa sina huruma na viumbe laana vya CCM
Hahahahah eti maarifa hahahahah teh teh teh teh mbwa wa February Marope nyie maarifa mpate wapi kunguni nyie?
Wewe ni kinyaa tuu kama wenzio....
Wewe ni kinyaa tu kama Fisiemu wenzio.Asante kwa Kunisoma ila nikurekebishe mie sipendi Chama napenda Viongozi, haijalishi yuko Chama gani. Tangu unanijibu Comment ya kwanza nilijua tu umenijibu vile kwasabab umenisoma mimi ni CCM, ndo maana ukaamua kunikashifu. ulitaka niponde najua kama ningetoa hoja ya kuponda serikali ungelike. pole sana.
Kwahiyo hapata Tatizo ni UCCM na sio kwamba sikustahili jukwaa hili, nilipaswa kuponda na kudharau mikakatai ya serikali, pole sana. kama ni hivyo kila siku utanikashifu, Asante kwa kunisoma, ila nakukumbusha mie sio CCM ila napenda Viongozi wa kisiasa/Serikali ambao wapo kwa ajili ya maslah yetu.Huwa sina muda wakujibizana kihoja na viwavi wa CCM... Nikiwaona nawapiga nyundo tuuuu.... Mmebeba usaha vichwani mwenu hoja mnazielewa wapi?
Wewe ni kinyaa kama CCM wenzako humu.