Hao chawa masikini kuliko wote tanzania
Mtu mzito huyo lazima wampetipeti. Hujaona majumba waliyokuwa wanajengewa maraisi wastaafu? Unajua yamezika mabilioni mangapi?Na hela ya kulihudimia kila mwezi uhakika upo hata akipiga safari ya kwenda misele ya km 500 daily
Nikistaafu kiinua mgongo cha buku saba nahamia Mbweni.