Hans pop wa simba AU?
1.Mabere Marando alikuwa Usalama wa Taifa idara ya Mambo ya Nje.
2. Alikuwa akishughulikia wapigania uhuru wa kusini mwa Afrika.
3. Alifukuzwa usalama na Rais Julius Nyerere kwa sababu hakuwa na kadi ya Tanu, enzi hizo bila kuwa na kadi hiyo, unatimuliwa serikalini.
4. NCCR ilisambaratishwa na Lyatonga Mrema ambaye alikuwa akitaka kuifukuza Kamati Kuu ya NCCR na Marando na wenzake hawakukubaliana upuuzi huo.
5. Marando alisomea sheria Chuo Kikuu cha Dar (UDSM).
6. Aliwahi kufanya kazi Shirika la Sheria tanzania baada ya kufukuzwa na Kambarage usalama.
7. Marando, Mapalala, Ndimara Tegambwage, Said Fundikira na wengine ndio waanzilishi wa mageuzi hapa nchini walipounda kamati yao iliyoitwa NCCR.
8. Marando ndiye aliyemtoa jela Mapalala kwa njia ya mahakama baada ya kuwekwa kizuizini na Nyerere bila kufikishwa mahakamani, aliwekwa kizuizini Jela ya Kisiwani Mafia. Hayo machache yanatosha.
5. Mrema ambaye naye aliwahi kuwa usalama wa taifa naye akatimka NCCR akaenda TLP nako akaanzisha fujo akawatimua waanzilishi akina Lwekamwa na Tao.
AgentCDM fanyeni kazi,hata huyo Pasco anamumunya tu maneno,hakuna mtu anaejua utendaji wa hawa jamaa,woote tuna bahatisha tu story za hapa na pale,kikubwa huwezi kukimbia watu wa system maana "HATA MKEO ANAWEZA AKAWA NI ARGENT WA SYSTM NA USIJUE"kuwa makini endelea kuipenda CHADEMA.
Nayafahamu vizuri hizo namba 2,3,6 na 7 ila sitaweza kukujibuwakuu naomba uchambuzi wa kina Juu ya mwanasheria huyu.
1. Alisomea sheria wapi na kuhitimu mwaka gani?
2. Yeye kutamka hadharani kua ni mwanausalama na athari zake kisiasa ndani ya chadema
3. Amewahi kufikia rank gani ndani ya usalama na operesheni alizoshiriki.
4. Mchango wake katika kuinusuru au kuisambaratisha NCCR mageuzi.
5. Uwepo wake CHADEMA na uwezekano wa kuisambaratisha au kuiimarisha.
6. Mafunzo ya ujasusi aliyapatia wapi?
7. kama bado ni agent wa TISS mpaka sasa.
Ukijibu ntakushughulikia as soon as possibleNayafahamu vizuri hizo namba 2,3,6 na 7 ila sitaweza kukujibu
Huna cha kufanya,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,usilete ujuaji hapaUkijibu ntakushughulikia as soon as possible
hapana nadhani ni M15 au m16KGB wa Bongo
miss you ChaliiAweke Uzi?Si ungeweka wewe halafu ukoleze kabisa na "Bonafide Genuine"?
Sure, We miss him a lot, Mungu amsaidie huko alipo, Ikiwa waliutendea vile mti mbichi(Nape) seuze mti Mkavu(Bensaanane)?miss you Chalii
Ninaiangalia post ya The Fixer kwa jicho jipya haswa baada ya uchaguzi wa 2015.Hahaha hahahaa hahahaaaa !
Kwa uwepo wa Mabere Marando pale CHADEMA , Kama ikienda IKULU mwaka huo wanaousema wao 2015 mnichome MOTO !
Kwani hata Uchaguzi wa mwaka ule 2010 Dr Slaa mnadhani hakushinda ? Ameshapewa chake Billions of Money mtabakia WANAHARAKATI tu....
Kuna siku moja mwaka 2010 Mzee mmoja mtu mzima alinieleza kuwa Chama cha Kukiondoa CCM madarakani bado hakijaanzishwa....nlimshangaa sana na sikumuelewaa LAKINI kwasiku zilivyozidi kwenda mpaka leo Mwaka 2013 NIMESHAELEWAA... Nimeshamwamini maneno yake, CHADEMA ina Mapandikizi mengi sana wao wanawaita MAKAMANDA....