may be historia ya kanchi kangu imenipiga kando.ilikuwaje hadi leo hii hawa mahaini wapo uraiani wanadunda?au ulipita msamaha wa Rais?
Mkuu Vunja Bei, hapa jf, hatuhitaji kufahamiana live, tunaunganishwa na hoja tuu, ila mimi nafahamika sana tuu kama Pasco wa jf, yaani Pasco mimi hapa jf ni kwa ajili ya jf tuu!, usinichanganye na mwingine yoyote no matter tunashabihiana vipi!. Huu ndio utaratibu wetu humu jf hakuna kujuana, hakuna kufutiliana nani ni nani, hapo tunakata tuu hoja!.Kwan wewe pasco ni nani mbona wanishawishi kirahisi rahisi hv? vp naweza kukufamu live ????.......
Una uhakika kua ulikua ni uhaini au kutofautiana kimtazamo? Na kipindi hicho hatua na vyombo huru vya habari.
Wako watu wanapenda kupikiwa, wapakuliwe, walishwe, watafuniwe wao ibaki kumeza tuu!.Km akianzisha thread anakuwa sawa....ila aki-comment ananitia sana hasira, maana mm nakuwa makini kusoma nn leo pasco kadondosha, lakn mwishoni naishia kupatwa na hasira tu b'se anaandika aandika kimipashopasho hv hayupo straight.........uwe staright mkuu Pasco
Wako watu wanapenda kupikiwa, wapakuliwe, walishwe, watafuniwe wao ibaki kumeza tuu!.
Mimi nikipika, nakupakulia na kukulisha, ila sikutafunii, nakulisha hayo mabonge mabonge utafune menyewe, ukiweza kutafuna umeze, ukishindwa uteme!.
Hata YEYE, hakuwatafunia tuu wale wanafunzi wake!. Aliwamegea mapande na kuwalisha ili watafune wenyewe!.
Pasco.
Mkuu Vunja Bei, hapa jf, hatuhitaji kufahamiana live, tunaunganishwa na hoja tuu, ila mimi nafahamika sana tuu kama Pasco wa jf, yaani Pasco mimi hapa jf ni kwa ajili ya jf tuu!, usinichanganye na mwingine yoyote no matter tunashabihiana vipi!. Huu ndio utaratibu wetu humu jf hakuna kujuana, hakuna kufutiliana nani ni nani, hapo tunakata tuu hoja!.
Ila pia kama unapenda kufuatilia nani ni nani, unaweza kwenda fb, huko mkaonane kwa sura!.
Ushauri wako nimeupokea, humu jf, tuko watu wa aina zote, wadogo, vijana na wazee, kwenye issue inayowahusu wote, naiweka ili wote waelewe, lakini kwenye issue za kikubwa kama ile ya "jiwe", then ni wakubwa tuu ndio wanaopaswa kuelewa, nyie wadogoi,(kiuelewa), mnatakiwa kupita tuu na kusonga mbele!.
Pasco.
what if it happen within CCM itself?This is exactly what is happening now!, by 2015, all threats will be done!, well taken care!, the ni CCM Tena!.
Pasco.
Ni kufuatia vitisho kama hivi, mkinyimwa vetting!, msilalamike!.
Pasco.
mkuu ?pasco,
vipi kuhusu lwakatare
huyu ni mkuu wa usalama chadema, vipi kwa namna moja au nyingine anaweza kuwa amepitia tiss?
Kiapo cha maafisa usalama kina ukomo??
1. Alisomea sheria kwenye kile chuo cha sheria na kuhitimu mwaka ule aliohitimu.
2. Yeye kutamka hadharani kua ni mwanausalama ni athari mzuri za kisiasa ndani ya chadema kwa sababu na "rais" wa watu naye anapata ile daily S-briefing na ndio maana anashuka na nondo za kiuhakika za kufa mtu.
3. Amewahi kufikia rank juu kabisa ndani ya usalama na operesheni zote muhimu ameshiriki.
4. Mchango wake katika kuinusuru NCCR Mageuzi ni mkubwa, ila tatizo iliisha athirika beyond repair ndio maana ikasambaratisha yenyewe tuu!.
5. Uwepo wake CHADEMA ni kwa ajili ya kuuimarisha, ila ikitokea Chadema ikaathirika, beyond repair, this time atautumia uzoefu wa NCCR kuhakikisha Chadema, kamwe haiwezi kusambaratika!. itaishi milele!.
6. Mafunzo ya ujasusi aliyapatia wapi?
7. Yeye kwa ngazi aliyofikia, hawezi kuwa bado ni agent wa TISS mpaka sasa, maagent ni wale samaki wadogo wadogo, hawa wakubwa sio maajenti, hao ndio wenyewe!.
NB. Kwa wapenzi wa Chadema, ili Chadema iweze kukabidhiwa nchi mwaka 2015, kama ikishinda uchaguzi, then kwanza ni lazima Chadema kipate vetting ya TISS, hivyo Marando ni muhimu sana kwa Chadema kuliko kiongozi mwingine yoyote!. Ikulu haikabidhiwi kwa siasa za majukwaani, by voting, bali by vetting!.
Na mnaodhania ni Marando peke yake, mjinue hamjui chochote kuhusu siasa za nchi hii!, sisi tunaowaambia ukweli kuwa 2015 ni CCM tena!, mnatuchukia, na badala yake mnawapenda wale wanaowadanganya kuwa 2015 ni Chadema!.
Endeleeni kufuatilia watu!, laiti mngelijua "politics is just a game!" wala msingejisumbua kujiuliza, ila kwa vile ni kwa lengo la kufurahisha nafsi zenu, endeleeni kujifurahisheni tuu.
Pasco.
umenikumbusha ya mwaka 2010 pale mheshimiwa alipoenda kupiga magoti TISS wamfanyie vetting wakati mwanzo alikua anawadharau.mi ndio maana nimeacha siasa za kupigiana kelele naangalia mustakabali wa nchi na kufuatilia maendeleo tu
Nani huyo aliwapigia magoti tiss ?
Nani huyo aliwapigia magoti tiss ?