Salahan
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,942
- 3,607
Habari wanajamii
Baada ya kuja na wazo la kuwaagizia watu bidhaa China kufeli
Kisha wazo wa kuwauzia Yuan za china na kuwasaidia manunu pia kufeli
Nimeona Sijaandikiwa kusaidia watu bali ichi ninachokifahamu ni tunu yafaa nitumie kujinufaisha na familia yangu tu.
Ndio nimeamua kuagiza mwenyewe na kuuza mwenyewe niape sitotoa tena connection yoyote niliowasaidia yatosha.
Naaam nimeamua kuagiza na kuwauzia tu kwa bei ninayoona ni rafiki kwa kila mteja wangu.
Usiniulize chochote kuhusu China Mana sitojibu just njoo niungishe maisha yaendelee.
Pochi izo hapo ni pochi ndogo maarufu kwa jina la nainai
Wadada wanatumia kuwekea simu na makeup kiasi kanakuwa kamejaa
Ninua ukauze 10000-15000 (rejareja)
Material ni PU na Plastic
Bei kwa katoni (pisi 20) ni 80,000/= yaani kila pochi moja 4000/=
Bei ya jumla kuanzia pisi 2 basi kila pochi moja 5000
Rejareja 6000
Tupo Morogoro Mjini
Mtaa wa Konga jirani na Aika Lodge
Tucheki Whatsapp +255759727895
NINAZO PISI 100 TU
(ZIPO OFISINI SIO TENA CHINA)
WATEJA WA KATONI MNAPEWA KIPAUMBELE
Post Inayofuata nitapost Zinazokuja zilizopo njiani ili wateja wangu mjipange
Njoo kama mteja sio kuuliza mambo ya wapi natoa wala mambo za China
Haya maisha bila roho mbaya nimegundua hayaendi kabisa
Baada ya kuja na wazo la kuwaagizia watu bidhaa China kufeli
Kisha wazo wa kuwauzia Yuan za china na kuwasaidia manunu pia kufeli
Nimeona Sijaandikiwa kusaidia watu bali ichi ninachokifahamu ni tunu yafaa nitumie kujinufaisha na familia yangu tu.
Ndio nimeamua kuagiza mwenyewe na kuuza mwenyewe niape sitotoa tena connection yoyote niliowasaidia yatosha.
Naaam nimeamua kuagiza na kuwauzia tu kwa bei ninayoona ni rafiki kwa kila mteja wangu.
Usiniulize chochote kuhusu China Mana sitojibu just njoo niungishe maisha yaendelee.
Pochi izo hapo ni pochi ndogo maarufu kwa jina la nainai
Wadada wanatumia kuwekea simu na makeup kiasi kanakuwa kamejaa
Ninua ukauze 10000-15000 (rejareja)
Material ni PU na Plastic
Bei kwa katoni (pisi 20) ni 80,000/= yaani kila pochi moja 4000/=
Bei ya jumla kuanzia pisi 2 basi kila pochi moja 5000
Rejareja 6000
Tupo Morogoro Mjini
Mtaa wa Konga jirani na Aika Lodge
Tucheki Whatsapp +255759727895
NINAZO PISI 100 TU
(ZIPO OFISINI SIO TENA CHINA)
WATEJA WA KATONI MNAPEWA KIPAUMBELE
Post Inayofuata nitapost Zinazokuja zilizopo njiani ili wateja wangu mjipange
Njoo kama mteja sio kuuliza mambo ya wapi natoa wala mambo za China
Haya maisha bila roho mbaya nimegundua hayaendi kabisa