Mabasi yenye kiyoyozi ni hatari!

Mabasi yenye kiyoyozi ni hatari!

Kanifurahisha sana, ndege yenye abiria karibu 300 inasafuri angani kwa masaa 17 bila kutua na haina ventilation,

Ajifunze mfumo wa ac na kwa kawaida ac huchukua hewa nje ya bus, na 'nyingi zimefungwa kwa juu ya bas' na kuingiza ndan
Mkuu ndege inakosaje ventilation, si watu watakufa kwa kukosa hewa. Ndege za abiria zina air conditioning system...unless niwe sikuelewa maana yako.
 
Mkuu ndege inakosaje ventilation, si watu watakufa kwa kukosa hewa. Ndege za abiria zina air conditioning system...unless niwe sikuelewa maana yako.
Ndege ipo sealed haina sehem hata moja inayopitisha hewa toka nje, inapotaka kuruka mlango ukifungwa huwa inatengeneza H2O yake, inakuwa pressurised ndo inaruka,
 
Mpeni majibu aelewe jamani msimzodoe

Mkuu kazi ya ac ni kupoozesha au kuongeza joto la hewa, kuongeza unyevu wa hewa au kupunguza ( humidification or drying, heating or cooling), mantiki ya kufunga madirisha ni kuwezesha ac kufanya kazi ktk uwezo wake halisi ( load capacity ) kama kukiwa kuna hewa inayoingia na kutoka kwa gari ac itazidiwa uwezo, kumbuka ile hewa iliyopoozwa itakua bado inazunguka ndani ya gari hivyo ac itatutmia nguvu kidogo kuendelea kupooza hewa iliyopo ndani, mkifungua madirisha maana yake ni mnailazimisha ac ipooze dunia yote, haiwezi kwa hiyo itazidiwa uwezo, ndio maana kila ukitaka kuwasha ac hakikisha umefunga madirisha ( ac yenyewe inauwezo wa kuingiza hewa ndani na kuipooza na kuisambaza kwa hyo ata ukifunga madirisha poa tu)
 
Kweli Mkuu ficha ujinga wako!
Vipi Mkuu na ile QANTAS AIR au FLY EMIRATE inayotoka San Fransisco mpaka Melbourne nao TBS yao ina matatizo sio?
 
Mtoa hoja nakuunga kwa 100% a/c kwenye bus ni upuuzi tu,Tahmeed wananijua vzr nikipanda bus zao hali ikiwa ni tete nafungua vioo kama kawa tu.
 
Air conditioner (AC) working principle
An air conditioner collects hot air from a given space, processes it within itself with the help of a refrigerant and a bunch of coils and then releases cool air into the same space where the hot air had originally been collected. This is essentially how all air conditioners work.
 
Air conditioner (AC) working principle
An air conditioner collects hot air from a given space, processes it within itself with the help of a refrigerant and a bunch of coils and then releases cool air into the same space where the hot air had originally been collected. This is essentially how all air conditioners work.
Simple and clear. Tena kwenye button za AC ya gari kuna button ya kuchagua unataka hewa ya nje au ya ndani iwe recycled. Ukichacha ya ndani AC inakuwa very effective,ukichagua ya nje AC inapata changamoto sana kupooza hewa.
 
Exactly, ya nje inakuwa a bit with higher temperature and therefore takes time to extract heat compared to already somehow cooled inside air!
Simple and clear. Tena kwenye button za AC ya gari kuna button ya kuchagua unataka hewa ya nje au ya ndani iwe recycled. Ukichacha ya ndani AC inakuwa very effective,ukichagua ya nje AC inapata changamoto sana kupooza hewa.
 
Wewe kapande yasioyo na AC maana yenye AC sio size yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom