Usiwe unaongea tu mkuu. Mtoa mada kasema aircon za mabasi hazibadilishi hewa ila zinapoza hewa ile ile Dar to Manyoukni. Ya kwa ofisi inatoa hewa chafu na kuingiza fresh air.mbona AC ya ofisin haulalamiki
Hivi Ac inafanyaje kazi wa uelewa wako?Usiwe unaongea tu mkuu. Mtoa mada kasema aircon za mabasi hazibadilishi hewa ila zinapoza hewa ile ile Dar to Manyoukni. Ya kwa ofisi inatoa hewa chafu na kuingiza fresh air.
Tumia akili kidogo sio unaandika tu
Anatumia mkuu********nD........Mtoa mada unafikiria kwa kutumia nini??
Usiwe unaongea tu mkuu. Mtoa mada kasema aircon za mabasi hazibadilishi hewa ila zinapoza hewa ile ile Dar to Manyoukni. Ya kwa ofisi inatoa hewa chafu na kuingiza fresh air.
Tumia akili kidogo sio unaandika tu
Msimfanyie hivyo mleta mada [emoji23][emoji23] mwishowe aombe gari ianguke hakujua..
Natumaini ujinga umemtoka
Mkuu hujui uyendaji kazi wa ac, inapoza hewa, inatoa nje carbondioxide na kuingiza hewa oxygen kutoka nje.Kinachoitwa maendeleo leo, basi ujue ni maondoleo!!!
Usafiri wa mabasi ya siku hizi yananikera sana!
Mabasi mengi hasa haya ya kichina namaanisha Yutong...yamefungwa Air conditioner, watu wengi hawajui ufanyaji kazi wa hizi AC.
AC kazi yake sio kuingiza hewa mpya ndani ya chumba ama ndani ya gari bali kuipoza hewa hiyo hiyo unayoivuta. Wenye mabasi hunikera wanaposema "abiria fungeni madirisha tumewasha AC" yaani maana yake tuendelee kuvuta hewa ya Carbon dioxide ambayo tumeishaipumua. Hivyo safari nzima mnavuta hewa ile ile, hii ndo sababu ya watu kujisikia hovyo wakati wa safari.
Hata design yenyewe ya mabasi hayana ventilation ukiwa umefunga madirisha.
Hivi hawa TBS hawaoni ubora wa haya mabasi kweli!
Mkuu vtu vngne uwe unagoogle Kwanza kabla ya kuanzisha nyuziKinachoitwa maendeleo leo, basi ujue ni maondoleo!!!
Usafiri wa mabasi ya siku hizi yananikera sana!
Mabasi mengi hasa haya ya kichina namaanisha Yutong...yamefungwa Air conditioner, watu wengi hawajui ufanyaji kazi wa hizi AC.
AC kazi yake sio kuingiza hewa mpya ndani ya chumba ama ndani ya gari bali kuipoza hewa hiyo hiyo unayoivuta. Wenye mabasi hunikera wanaposema "abiria fungeni madirisha tumewasha AC" yaani maana yake tuendelee kuvuta hewa ya Carbon dioxide ambayo tumeishaipumua. Hivyo safari nzima mnavuta hewa ile ile, hii ndo sababu ya watu kujisikia hovyo wakati wa safari.
Hata design yenyewe ya mabasi hayana ventilation ukiwa umefunga madirisha.
Hivi hawa TBS hawaoni ubora wa haya mabasi kweli!
Kumbe huyo Tesla mnaundugu..safiiiHahah
We jamaa inaonekana haujajifunza hata physics form 2
HahaahaaKumbe huyo Tesla mnaundugu..safiii
Hongera sana nduguHahaahaa
tesla is my role model
I want to reach his ....