Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,281
- 7,477
akili ndogo.....
Kuna vitu vitatu vinahisikika hapa...Kinachoitwa maendeleo leo, basi ujue ni maondoleo!!!
Usafiri wa mabasi ya siku hizi yananikera sana!
Mabasi mengi hasa haya ya kichina namaanisha Yutong...yamefungwa Air conditioner, watu wengi hawajui ufanyaji kazi wa hizi AC.
AC kazi yake sio kuingiza hewa mpya ndani ya chumba ama ndani ya gari bali kuipoza hewa hiyo hiyo unayoivuta. Wenye mabasi hunikera wanaposema "abiria fungeni madirisha tumewasha AC" yaani maana yake tuendelee kuvuta hewa ya Carbon dioxide ambayo tumeishaipumua. Hivyo safari nzima mnavuta hewa ile ile, hii ndo sababu ya watu kujisikia hovyo wakati wa safari.
Hata design yenyewe ya mabasi hayana ventilation ukiwa umefunga madirisha.
Hivi hawa TBS hawaoni ubora wa haya mabasi kweli!
AC kwenye magari ambayo nimeendesha ni kuwa kuna chaguzi mbili: 1. hewa kuzunguka ndani ya gari, 2. hewa kutoka nje ya gari. Lakini matokeo ni yale yale kuwa utapata ubaridi na oksijeni.AC kazi yake sio kuingiza hewa mpya ndani ya chumba ama ndani ya gari bali kuipoza hewa hiyo hiyo unayoivuta.
Haiwezekani mwanadamu (mnyama) kuvuta carbon dioxide (CO2), na kukaa muda wote huo bila oksijeni (O2). Ukiona mmemaliza safari salama, basi ujue ulikuwa unavuta O2 na sio CO2. Vipi, Biolojia ulikuwa unakosa vipindi kama umepitia O'level?Wenye mabasi hunikera wanaposema "abiria fungeni madirisha tumewasha AC" yaani maana yake tuendelee kuvuta hewa ya Carbon dioxide ambayo tumeishaipumua.
Hivyo safari nzima mnavuta hewa ile ile, hii ndo sababu ya watu kujisikia hovyo wakati wa safari.
Tatizo lako unaona kinyume, yaani kilicho bora kwako sio bora.Hivi hawa TBS hawaoni ubora wa haya mabasi kweli!
Kinachoitwa maendeleo leo, basi ujue ni maondoleo!!!
Usafiri wa mabasi ya siku hizi yananikera sana!
Mabasi mengi hasa haya ya kichina namaanisha Yutong yamefungwa Air conditioner, watu wengi hawajui ufanyaji kazi wa hizi AC.
AC kazi yake sio kuingiza hewa mpya ndani ya chumba ama ndani ya gari bali kuipoza hewa hiyo hiyo unayoivuta.
Wenye mabasi hunikera wanaposema "abiria fungeni madirisha tumewasha AC" yaani maana yake tuendelee kuvuta hewa ya Carbon dioxide ambayo tumeishaipumua.
Hivyo safari nzima mnavuta hewa ile ile, hii ndo sababu ya watu kujisikia hovyo wakati wa safari.
Hata design yenyewe ya mabasi hayana ventilation ukiwa umefunga madirisha.
Hivi hawa TBS hawaoni ubora wa haya mabasi kweli!
Unaijua vizuri cobcept ya aircondioning au unaropoka tu?Wenye mabasi hunikera wanaposema "abiria fungeni madirisha tumewasha AC" yaani maana yake tuendelee kuvuta hewa ya Carbon dioxide ambayo tumeishaipumua.
Jamaa, mkuu alisema ni air hostage usitupotoshe, usitufanye watanzania wote ni wajingahuyu jamaa siku akipanda ndege ataomba air hostes amfungulie dirisha[emoji23][emoji23][emoji23]
kama basi limeshapata vibali vyote mpaka unaoana linatembea jiulize hiyo injini,umeme,mafuta,ac vilitengenezwa kwa kubahatisha ,unalitia aibu taifa,hata ukiulizwa umeme unakuaje sizani kama utatupa jibuKinachoitwa maendeleo leo, basi ujue ni maondoleo!!!
Usafiri wa mabasi ya siku hizi yananikera sana!
Mabasi mengi hasa haya ya kichina namaanisha Yutong yamefungwa Air conditioner, watu wengi hawajui ufanyaji kazi wa hizi AC.
AC kazi yake sio kuingiza hewa mpya ndani ya chumba ama ndani ya gari bali kuipoza hewa hiyo hiyo unayoivuta.
Wenye mabasi hunikera wanaposema "abiria fungeni madirisha tumewasha AC" yaani maana yake tuendelee kuvuta hewa ya Carbon dioxide ambayo tumeishaipumua.
Hivyo safari nzima mnavuta hewa ile ile, hii ndo sababu ya watu kujisikia hovyo wakati wa safari.
Hata design yenyewe ya mabasi hayana ventilation ukiwa umefunga madirisha.
Hivi hawa TBS hawaoni ubora wa haya mabasi kweli!
Kwa ukimya wake, naona atakuwa ameelewa, kutokujua ni swala la kawaida, kukubali kuwa hujui ni hekima.Mpeni majibu aelewe jamani msimzodoe
Mkuu hapa nimepanda Dar Lux from Dar to Nairobi. Full AC.
Mwendo Ni murua kabisa.
Nasoma kitabu Cha Marehem Dr. Mengi.
I Can, I Will, I Must.
Nunua mtungi wa oxygen uwe unasafiri nao.Kinachoitwa maendeleo leo, basi ujue ni maondoleo!!!
Usafiri wa mabasi ya siku hizi yananikera sana!
Mabasi mengi hasa haya ya kichina namaanisha Yutong yamefungwa Air conditioner, watu wengi hawajui ufanyaji kazi wa hizi AC.
AC kazi yake sio kuingiza hewa mpya ndani ya chumba ama ndani ya gari bali kuipoza hewa hiyo hiyo unayoivuta.
Wenye mabasi hunikera wanaposema "abiria fungeni madirisha tumewasha AC" yaani maana yake tuendelee kuvuta hewa ya Carbon dioxide ambayo tumeishaipumua.
Hivyo safari nzima mnavuta hewa ile ile, hii ndo sababu ya watu kujisikia hovyo wakati wa safari.
Hata design yenyewe ya mabasi hayana ventilation ukiwa umefunga madirisha.
Hivi hawa TBS hawaoni ubora wa haya mabasi kweli!
Asante mkuu at least wewe nimekuelewa, wengine wamekazana tu kutaka kum'kata makofi mtoa mada lakini wao wameshindwa kueleza Ac inafanyaje kazi.Mpeni majibu aelewe jamani msimzodoe
Mkuu kazi ya ac ni kupoozesha au kuongeza joto la hewa, kuongeza unyevu wa hewa au kupunguza ( humidification or drying, heating or cooling), mantiki ya kufunga madirisha ni kuwezesha ac kufanya kazi ktk uwezo wake halisi ( load capacity ) kama kukiwa kuna hewa inayoingia na kutoka kwa gari ac itazidiwa uwezo, kumbuka ile hewa iliyopoozwa itakua bado inazunguka ndani ya gari hivyo ac itatutmia nguvu kidogo kuendelea kupooza hewa iliyopo ndani, mkifungua madirisha maana yake ni mnailazimisha ac ipooze dunia yote, haiwezi kwa hiyo itazidiwa uwezo, ndio maana kila ukitaka kuwasha ac hakikisha umefunga madirisha ( ac yenyewe inauwezo wa kuingiza hewa ndani na kuipooza na kuisambaza kwa hyo ata ukifunga madirisha poa tu)