Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,730
- 531
Tangazo la serikali kuzuia mabasi uingizaji wa mabasi ya abiria yenye zaidi ya miaka 5 ni Ufisadi wa hali ya juu na hujuma kwa sekta ya usafiri Tanzania.
Nataka kuingiza mabasi ya bairia ya kibashara lakini nimetembelea mitandao ya wauzaji magari maarufu wa Japan ili kupata magari hayo lakini wote wameniambia siwezi kupata mabasi hayo.
Nimegundua hata Ulaya, Asia na Afrika Kusini ambao ni bora kuliko sisi kiuchumi wanaruhusu uingizaji wa Mabasi yaliyotumika kwa zaidi ya miaka 5. Sisi tunakipi cha kutufanya tuwe jeuri kiasi cha kukataa mabasi hayo na barabara za kulazimisha watu kutembeza magari mapya?
Nadhani hapa kuna mkono wa Mtu, nisaidieni Wana JF nataka kuingiza mabasi lakini nimeshindwa kuyapata kwa ajili ya Ufisadi huu wa waziwazi na hujuma dhidi ya WaTz.
Nataka kuingiza mabasi ya bairia ya kibashara lakini nimetembelea mitandao ya wauzaji magari maarufu wa Japan ili kupata magari hayo lakini wote wameniambia siwezi kupata mabasi hayo.
Nimegundua hata Ulaya, Asia na Afrika Kusini ambao ni bora kuliko sisi kiuchumi wanaruhusu uingizaji wa Mabasi yaliyotumika kwa zaidi ya miaka 5. Sisi tunakipi cha kutufanya tuwe jeuri kiasi cha kukataa mabasi hayo na barabara za kulazimisha watu kutembeza magari mapya?
Nadhani hapa kuna mkono wa Mtu, nisaidieni Wana JF nataka kuingiza mabasi lakini nimeshindwa kuyapata kwa ajili ya Ufisadi huu wa waziwazi na hujuma dhidi ya WaTz.