mwaki pesile
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 340
- 487
unapanda DTR ila mwisho wa safari APN imewaacheni saa nzima.... uko sahihi. Probability ya gari T 605 DTR kugombaniwa na abiria ni kubwa kuliko T 605 BXY hilo halina ubishi regardless of brand!
Abiria sio wote huangalia huduma za ndani ya basi bali wengine huangalia gari ya kuwahi