Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
Wazee wa kubet wanakwambia siku hizi gari za ligi zinaangaliwa kwa jicho la tatu.Iko shida mahali mkuu...
Watu waejiuliza Sauli kunani?
Tunaipanda tufike saa 12 tunaishia kufika saa 2
Wazee wa kubet wanakwambia siku hizi gari za ligi zinaangaliwa kwa jicho la tatu.Iko shida mahali mkuu...
Watu waejiuliza Sauli kunani?
Tunaipanda tufike saa 12 tunaishia kufika saa 2
Hujuma?Wazee wa kubet wanakwambia siku hizi gari za ligi zinaangaliwa kwa jicho la tatu.
Siamini hii gari NeoBus ndio imeanza kuzingua kiasi hiki, kuna shida mahali sio bure!
Ndio hivyo mkuu. Hali ndio hiyo.Siamini hii gari NeoBus ndio imeanza kuzingua kiasi hiki, kuna shida mahali sio bure!
Ndio maana siioni ikipita sana hapa road hata weeks 3 huwa inapotea, sabu naishi karibu na stend kuu Mbeya, Naziona zile Scania 3 tu ndo zinapiga kazi...! Kuna shida mahali, kama sio mafundi na vipuli basi hujuma zingine za kibiashara..Ndio hivyo mkuu. Hali ndio hiyo.
Kwa sehemu kubwa shida ni vipuli, kupata spare genuine ya benz ni tatizo ukilinganisha na Scania ambao wapo muda mrefu East Africa na wana service centers za uhakika. kuna ile DNH ya zuberi pia ipo yard inakula vumbi tu.Hizo taa mbele kwenye hiyo Benz ya sauli kwa kuziona tu nahisi ni za Golden Dragon (CN).Ndio maana siioni ikipita sana hapa road hata weeks 3 huwa inapotea, sabu naishi karibu na stend kuu Mbeya, Naziona zile Scania 3 tu ndo zinapiga kazi...! Kuna shida mahali, kama sio mafundi na vipuli basi hujuma zingine za kibiashara..
Mercedes Benz haijawahi kuwa na uimara wa scania , never.Kwa sehemu kubwa shida ni vipuli, kupata spare genuine ya benz ni tatizo ukilinganisha na Scania ambao wapo muda mrefu East Africa na wana service centers za uhakika. kuna ile DNH ya zuberi pia ipo yard inakula vumbi tu.Hizo taa mbele kwenye hiyo Benz ya sauli kwa kuziona tu nahisi ni za Golden Dragon (CN). View attachment 1531219
Either hujui au haupo makini, gari kukimbia ni kitu kimoja na gari kuhimili kukimbia ni kitu kingine kabisa , mabasi yana speed limit ya 85km/h, lakini wastani wa mwendo hutofautiana kadiri engine inavyokuwa dhaifu milimani....
Unafikri wamiriki wa mabasi hawazipendi hizo sacaia au benzi 😃😃😃.. Shida mpunga babaaaaChasis ya Scania Bus engine nyuma
Miaka ya nyuma Scania ndio alikuwa mfalme wa kusafirisha abiria na mizigo hapa nchini. Wamiliki wa mabasi waliziamini sana Scania kwa uimara wake na mwendo barabarani....
Golden dragon ndiyo wamekopi design ya taa kwa neobus.Kwa sehemu kubwa shida ni vipuli, kupata spare genuine ya benz ni tatizo ukilinganisha na Scania ambao wapo muda mrefu East Africa na wana service centers za uhakika. kuna ile DNH ya zuberi pia ipo yard inakula vumbi tu.Hizo taa mbele kwenye hiyo Benz ya sauli kwa kuziona tu nahisi ni za Golden Dragon (CN). View attachment 1531219
kama ni hivyo kwa nini na wao wasijaribu kuichagua rout hii wasichoshe magari yao.Abood na shabiby wanabebwa na geographical location walizopo, hizo basi zote ulizoziona hapo hakuna hata moja inayotanya safari ya Zaid ya masaa manne, zinapata muda wa kupumzika na check up ya kutosha same applies to shabiby...
Huwezi ukashindana na Abood kwa route ya dar Moro,nenda msamvu au ubungo utajua ninachomaanisha,kama ni hivyo kwa nini na wao wasijaribu kuichagua rout hii wasichoshe magari yao.
Na Ubunge unawasaidia kinamna flan kina ABOOD na SHABIBY...Huwezi ukashindana na Abood kwa route ya dar Moro,nenda msamvu au ubungo utajua ninachomaanisha ,
Walijatibu akina islam ,Sadiq ,Moro best , scolastica na wakachemka , Sasa hivi wapo newforce na BM wanajaribu Bahati yao.
Kiufupi Abood amejipanga kutoikosa route hiyo
Sauli moja Mchina 2 na mkopo wa 1 so unapata mchina tatuChasis ya Scania Bus engine nyuma
Miaka ya nyuma Scania ndio alikuwa mfalme wa kusafirisha abiria na mizigo hapa nchini. Wamiliki wa mabasi waliziamini sana Scania kwa uimara wake na mwendo barabarani.....
duh.Sauli moja Mchina 2 na mkopo wa 1 so unapata mchina tatu
Muhimu hesabu na sio Mambo ya kumuachia mjukuu urithiduh.
Hii lupelo aliuziwa nani? Chuma langu la njombe hiliHizi hapa ndo 95 hp 310 za kwanza kabisa kuingia nchini wengi waliziogopa kuwa zinatumia umeme zitasumbua sana.. Lakini hazikula mafuta kiwango ulichoandikaView attachment 1493011
Aliuziwa NBS kama sijakosea na bado zipo!Hii lupelo aliuziwa nani? Chuma langu la njombe hili
banz ni bora kuliko scania.Chasis ya Scania Bus engine nyuma
Miaka ya nyuma Scania ndio alikuwa mfalme wa kusafirisha abiria na mizigo hapa nchini. Wamiliki wa mabasi waliziamini sana Scania kwa uimara wake na mwendo barabarani...
bodi ya benz ile ya sauli sio ya kenyaMercedes Mzee ni shida nyingine hiyo kwanza inatembea tuu swala la matengenezo sio leo wala kesho sasa ukute kaweka Engine ya Actros humo si balaa hilo maana Actros inataka kubeba mzigo mkubwa harafu inabeba abiria hao wachache atabaki kusifiwa tuu...maana bodi ni ya Kenya ile sio merc au ya Scania kama nilivyosikia..