Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,462
- 4,364
Mchana haepukiki ndugu. Unaweza kujikuta umevaa Mchina toka soksi mpaka kapelo. Kuangalia exports za China kwenda US za kuanzia computer hadi vifaa vya ujenzi utachoka.Mchina yule yule wa tecno, itel na infinix ndiye yule yule wa zhongtong, higher, youtong hajawahi kuwa serious kwenye kazi.
Basi kama lake linauzwa mil 900,yeye anaunda lake anauza ml 250, halafu mtu anakuja kubeza scania/ benz/ volvo si lolote si chochote, basi unamuangalia halafu unfanya ihiiiiiiiiiiiiiiiiiiii (kwa sauti ya magu).