Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,942
- 156,098
Chasis ya Scania Bus engine nyuma
Miaka ya nyuma Scania ndio alikuwa mfalme wa kusafirisha abiria na mizigo hapa nchini. Wamiliki wa mabasi waliziamini sana Scania kwa uimara wake na mwendo barabarani.
Miaka ya katikati Mchina akaleta mabasi ya YUTONG na Zongtong. Matajiri wengi wakazimbilia basi hizi kwasababu ya ulaji mdogo wa mafuta, bodi nzuri, interior design, na unafuu wa vipuri.
Njia nyingi Scania zikaanza kuadimika, na watu wakasahau makali ya muziki wa Scania Njia ya Mbeya Kuna mabasi yanaitwa Sauli, ni Scania na Mercedes Benz. Yutong na zongtong zinaonekana kama Leyland CD, zinapitwa kama zimesimama, iwe ni mlimani, tambarare au mteremkoni, Mchina anapigwa home and away.
Pia nimeshawahi kusafiri sana na Volvo za Zainabs, mwendo wake haukuwa wa kitoto Wala wa kimama, ngoma ni mbio, nguvu, balance na stability ya uhakika.
Sasa naona kama mchina anaanza kupoteza imani kwa namna mabasi ya Sauli yanavyomfanya huko Mbeya.
Miaka ya nyuma Scania ndio alikuwa mfalme wa kusafirisha abiria na mizigo hapa nchini. Wamiliki wa mabasi waliziamini sana Scania kwa uimara wake na mwendo barabarani.
Miaka ya katikati Mchina akaleta mabasi ya YUTONG na Zongtong. Matajiri wengi wakazimbilia basi hizi kwasababu ya ulaji mdogo wa mafuta, bodi nzuri, interior design, na unafuu wa vipuri.
Njia nyingi Scania zikaanza kuadimika, na watu wakasahau makali ya muziki wa Scania Njia ya Mbeya Kuna mabasi yanaitwa Sauli, ni Scania na Mercedes Benz. Yutong na zongtong zinaonekana kama Leyland CD, zinapitwa kama zimesimama, iwe ni mlimani, tambarare au mteremkoni, Mchina anapigwa home and away.
Pia nimeshawahi kusafiri sana na Volvo za Zainabs, mwendo wake haukuwa wa kitoto Wala wa kimama, ngoma ni mbio, nguvu, balance na stability ya uhakika.
Sasa naona kama mchina anaanza kupoteza imani kwa namna mabasi ya Sauli yanavyomfanya huko Mbeya.