Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 5,807
- 13,052
Eeh bwana eeh it's me Mr. Liverpool again.
Mwenzenu nimekaa nikawazaa na kuwazua, nikaona dah "BAGOSHAAAA wanaume TUNANYONYWA SANAA"
Iko hivi.....
Mr. Liverpool ni mkulima wa Parachichi na miti ya mbao.
Sasa bana, leo nimekaa nikawa napanga bajeti ya kuingia Shamba.
Maana huwa naingia Shamba mwisho wa mwaka kupanda miti (kuanza new season) na kuhudumia iliyopo Shamba.
Aisee kwa kuwa miti yangu imekua mikubwa basi inahitaji pesa ndefu kiasi kwenye huduma (Kilimo biashara)
Sasa nikawaza ""Huwa natombe* na kuhonga za nini hizi hela..!!???""
Kwa scenario hii, Hebu fikiria hizi losted financial resources...
Umemtongoza demu akakuelewa na kutaka kukupa mbunye.
Sasa tuseme umeamua kuwa low kwenye matumizi.
1. Soon atakuomba vocha ,5000
2. Utatuma nauli akufate lodge uliyopo mpate vinywaji na kula kwanza 50,000 (nauli + vinywaji + msosi)
3. Utalipia chumba 20,000
4. Mtanunua vya kwenda navyo chumbani (Vinywaji+condom) 10,000
5. Asubuhi mtaagana 30,000
Hii nimefanya minimum cost ile kikaizu zaidi.
Yaani kwa mbunye ya siku moja umeteketeza 115,000/=
Yaani umeteketeza...
1. Gharama ya kununua Eka 1 kijijini huko
2. Gharama ya kulima Eka 2 mpaka 4 (inategemea na location ya Shamba lako).
3. Gharama ya kupalilia Eka 3 za shamba
4. Gharama ya kupata viwalo vikali full kutoka kwa Fred Vunja bei.
Ila nikawaza ""si opportunity cost"" @ umeamua kupiga chini ku-investment na future yako kwa ajili ya utamu wa usiku mmoja (exchanging of satisfactions).
Dah, hivi kila mtu akikaa chini ajumlishe zile pesa alizohonga mwaka huu tu hivi hanunui TRACTOR kweli akalipeleka Ifakara au Chimala huko likamuingizie pesa?
Dah kuzaliwa mwanaume ni mateso Sana, kila mwanamke utakaye mtongozo atahitaji pesa zako..!!!
Dah mwenzenu mi nimeacha.
Ni mama zetu
Ni dada zetu
Ni shangazi zetu
Ni mabinti zetu
Ni maua yetu
.....ila WANAMALIZA SANA PESA.
Mi sitaki Tena kuhonga.
BORA PESA ZANGU NIZITUPIE HUKU TU 👇👇👇
Masela A.K.A mabaharia hebu tutengeneze future zetu na ya vizazi vyetu.
Let's invest
Let's dig financial knowledge in our brains.
Maana pesa bila maarifa ya pesa HUYEYUKA FASTAAA.
Umalaya SIO DILI.
INVESTMENT is BETTER than BUSINESS
TUTAFUTE HELA ili TUWEKEZE na sio KULIA MBUNYE.
Nimeamua kujiunga na CHAMA CHA WANAUME MABAHIRI RASMINI.
KATIBU eeeh "NAOMBA KADI"
#YNWA
Mwenzenu nimekaa nikawazaa na kuwazua, nikaona dah "BAGOSHAAAA wanaume TUNANYONYWA SANAA"
Iko hivi.....
Mr. Liverpool ni mkulima wa Parachichi na miti ya mbao.
Sasa bana, leo nimekaa nikawa napanga bajeti ya kuingia Shamba.
Maana huwa naingia Shamba mwisho wa mwaka kupanda miti (kuanza new season) na kuhudumia iliyopo Shamba.
Aisee kwa kuwa miti yangu imekua mikubwa basi inahitaji pesa ndefu kiasi kwenye huduma (Kilimo biashara)
Sasa nikawaza ""Huwa natombe* na kuhonga za nini hizi hela..!!???""
Kwa scenario hii, Hebu fikiria hizi losted financial resources...
Umemtongoza demu akakuelewa na kutaka kukupa mbunye.
Sasa tuseme umeamua kuwa low kwenye matumizi.
1. Soon atakuomba vocha ,5000
2. Utatuma nauli akufate lodge uliyopo mpate vinywaji na kula kwanza 50,000 (nauli + vinywaji + msosi)
3. Utalipia chumba 20,000
4. Mtanunua vya kwenda navyo chumbani (Vinywaji+condom) 10,000
5. Asubuhi mtaagana 30,000
Hii nimefanya minimum cost ile kikaizu zaidi.
Yaani kwa mbunye ya siku moja umeteketeza 115,000/=
Yaani umeteketeza...
1. Gharama ya kununua Eka 1 kijijini huko
2. Gharama ya kulima Eka 2 mpaka 4 (inategemea na location ya Shamba lako).
3. Gharama ya kupalilia Eka 3 za shamba
4. Gharama ya kupata viwalo vikali full kutoka kwa Fred Vunja bei.
Ila nikawaza ""si opportunity cost"" @ umeamua kupiga chini ku-investment na future yako kwa ajili ya utamu wa usiku mmoja (exchanging of satisfactions).
Dah, hivi kila mtu akikaa chini ajumlishe zile pesa alizohonga mwaka huu tu hivi hanunui TRACTOR kweli akalipeleka Ifakara au Chimala huko likamuingizie pesa?
Dah kuzaliwa mwanaume ni mateso Sana, kila mwanamke utakaye mtongozo atahitaji pesa zako..!!!
Dah mwenzenu mi nimeacha.
Ni mama zetu
Ni dada zetu
Ni shangazi zetu
Ni mabinti zetu
Ni maua yetu
.....ila WANAMALIZA SANA PESA.
Mi sitaki Tena kuhonga.
BORA PESA ZANGU NIZITUPIE HUKU TU 👇👇👇
Masela A.K.A mabaharia hebu tutengeneze future zetu na ya vizazi vyetu.
Let's invest
Let's dig financial knowledge in our brains.
Maana pesa bila maarifa ya pesa HUYEYUKA FASTAAA.
Umalaya SIO DILI.
INVESTMENT is BETTER than BUSINESS
TUTAFUTE HELA ili TUWEKEZE na sio KULIA MBUNYE.
Nimeamua kujiunga na CHAMA CHA WANAUME MABAHIRI RASMINI.
KATIBU eeeh "NAOMBA KADI"
#YNWA