Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,502
- 4,408
Suala la soko la Karume kuungua moto ikiwa ni muda mfupi tu baada ya soko la kariakoo kuungua moto linaweza kuja na taswira mpya ya baadhi ya watendaji kuwajibishwa.
Moja ya watendaji ambao naona wakiwajibishwa ni RC wa DSM ikiwa ni njia ya kuponya majeraha ya maumivu kwa machinga.
Naona pia wenyeviti wengi wa mikoa wakiwa wakuu wa mikoa mbalimbali
Moja ya watendaji ambao naona wakiwajibishwa ni RC wa DSM ikiwa ni njia ya kuponya majeraha ya maumivu kwa machinga.
Naona pia wenyeviti wengi wa mikoa wakiwa wakuu wa mikoa mbalimbali