adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 10,951
- 23,094
Am done mkuu!! Kumbe kosa langu nilikuwa natumia ile free basics ya zamani ya maandishi ya pink, ila nimeipata iliyoko currently active.
Mimi natumia chrome kuingia app inanizingua na leo nimejaribu tena kuipakua play store bado inaleta shida.Vipi upande wako app unafanya Kazi ?Asante sana mkuu. Ni ipi hiyo pale play store??