Wewe ni kilaza, mahakama ya rufaa ndio supreme court kwa Tanzania.
Ujinga wako umedhihirika hapaHaya ni marekebisho madogo tu ya katiba ambayo hayahitaji fedha nyingi, hata wale wa upande wa pili hawataenda kuomba fedha kwa wafadhili ili kupiga maneno na kula kuku
That's what I thought.Wewe ni kilaza, mahakama ya rufaa ndio supreme court kwa Tanzania.
Wewe ni kilaza, mahakama ya rufaa ndio supreme court kwa Tanzania.
Unaleta ushabiki wa kipumbavu, hoja ni kuanzishwa Kwa supreme court,hayo mengine yanatoka wapi?Huwa hoja zenu zinakosa mashiko bila kuwahusisha hao upande wa pili kama unavyowaita!Niko na akili ya mbele sana
Bila shaka Umeelewa!Next time leta habari bila mihemko ya msukumo wako kiitikadi!Kunywa maji mwanangu
Kinachojengwa Dodoma sio Supreme Court bali ni The Judiciary Headquarter Building" . Jengo la Mahakama ambalo ndani yake kutakuwa na Mahama Kuu, Mahakama ya Rufaa na Mahakama ya Juu (Supreme Court). Jengo moja lakini litakuwa na hizo mahama zote 3 in ONE HOUSE. Usanifu umezingatia itifaki za uendeshaji wa kesi kwenye hizo mahakama, na mahusiano ya utendaji kazi (seniority) kwa kila ngazi husika. Nimetoa ufafanuzi kwa kuwa nimewahi kuona usanifu wa jengo lenyewe (Architectural Drawings)Katika hotuba yake, Mtendaji Mkuu wa Mahakama ameelezea kwamba ujenzi wa jengo la supreme court unaendelea. Bila shaka muda wowote katiba itafanyiwa marekebisho ili kuijumuisha mahakama hii, ambayo itakuwa mahakama ya juu kabisa, kwa Sasa mahakama ya juu ni mahakama ya rufani(court of appeal).
Haya ni marekebisho madogo tu ya katiba ambayo hayahitaji fedha nyingi, hata wale wa upande wa pili hawataenda kuomba fedha kwa wafadhili ili kupiga maneno na kula kuku
Kina
Kinachojengwa Dodoma sio Supreme Court bali ni The Judiciary Headquarter Building" . Jengo la Mahakama ambalo ndani yake kutakuwa na Mahama Kuu, Mahakama ya Rufaa na Mahakama ya Juu (Supreme Court). Jengo moja lakini litakuwa na hizo mahama zote 3 in ONE HOUSE. Usanifu umezingatia itifaki za uendeshaji wa kesi kwenye hizo mahakama, na mahusiano ya utendaji kazi (seniority) kwa kila ngazi husika. Nimetoa ufafanuzi kwa kuwa nimewahi kuona usanifu wa jengo lenyewe (Architectural Drawings)
Afadhali umenisaidiaKina
Kinachojengwa Dodoma sio Supreme Court bali ni The Judiciary Headquarter Building" . Jengo la Mahakama ambalo ndani yake kutakuwa na Mahama Kuu, Mahakama ya Rufaa na Mahakama ya Juu (Supreme Court). Jengo moja lakini litakuwa na hizo mahama zote 3 in ONE HOUSE. Usanifu umezingatia itifaki za uendeshaji wa kesi kwenye hizo mahakama, na mahusiano ya utendaji kazi (seniority) kwa kila ngazi husika. Nimetoa ufafanuzi kwa kuwa nimewahi kuona usanifu wa jengo lenyewe (Architectural Drawings)
Kaa kimya kama hujuiWewe ni kilaza, mahakama ya rufaa ndio supreme court kwa Tanzania.