Gwaje
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 299
- 85
acha porojo wewe. Dr. Slaa alisema wakati wa kampeni kuwa kumchagua jk ni janga. Sasa wewe unasema tumpatie miaka 5 mingine!!!
naamini maana tumeanza na umeme, mengine yanafuata
acha porojo wewe. Dr. Slaa alisema wakati wa kampeni kuwa kumchagua jk ni janga. Sasa wewe unasema tumpatie miaka 5 mingine!!!
Hakuna shaka kuwa wapuuzi ni wale wanaoupinga ukweli. Hata kama una chuki binafsi na JK lakini kusema ukweli mema tunayaona.
Mradi wa mabasi yaendayo kasi umeshaanza, upo hatua ya mwanzoni
Flyovers nazo zipo mbioni...
Mnataka mfanyiwe nini watanzania??
Hivi JK ameshaelewa sasa kinachoifanya Tanzania kuwa maskini? Mimi naona kuwa JK apunguziwe muda wa kukaa Ikulu, miaka 5 mingi sana! Wakati wa Serikali zilizopita JK alikuwa Waziri wa Nishati na Madini na alisaini mikataba mibovu ya madini! Pia baada ya kujua uovu uliofanywa na Serikali ya Mkapa, aliamua kuyafumbia macho na kuamua kudai kwamba "mzee (Mkapa) aachwe apumzike" kwa ufisadi aliofanya!
Tusidanganyane JK akiendelea kuwa Ikulu Tanzania itakuwa kama Somalia!
Discuss issues achana na mambo ya watu. Upuuzi wa kudiscuss watu ndio moja ya sababu ya Chadema kushindwa uchaguzi mkuu
Ni wehu tu watakaopinga kuwa JK amefanya mema mengi kwa WATANZANIA
Madudu ya EPA, MEREMETA et al yamefanyika wakati wa Mkapa
Muda mwingi amevumilia kutukanwa kwa ajili ya makosa ya wengine. Hakuna ikomavu wa kisiasa unaofanana na waa JK.
Sasa ameanza kuijenga nchi.
1. Elimu safi na itaendelea kuwa safi
2. Maji yanapatikana kila mahali na maeneo machache yasiyo na maji mikakati ya kuwapatia maji inaendelea
3. Afya bora inapatikana na amefanikiwa kuhamasisha upunguaji wa maambukizi ya VVU
4. Nchi ipo salama dhidi ya maadui wa ndani na wa nje
5. Watanzania bado tunapendana
6. Ametimiza ahadi yake kwa zanzibar kumalizwa kwa mpasuko
7............
8............
Nadhani katiba mpya imtendee haki, imwongezee miaka mingine mitano. Nina hakika Tanzania itakuwa kama Marekani.
Wapiga Tarumbeta kina Slaa ni Kelele za mlango tu.
Nawasilisha
tumfanye rais wa maisha ..............
Au tumfanye mfalme..........
Quadratic
Ulichosema ni kweli tupu,Rais JK asiongezewe tu miaka 5 bali Katiba mpya imtangaze kabisa kuwa ni Rais wa milele wa TZ kwani kaifanyia mengi sana nchi yake Tanzania
Mosi;katupa umeme wa uhakika kabisa TZ;chini ya utawala wa maulana JK kwa kweli wa TZ wanafaidi umeme wa bei rahisi tofauti na viongozi wengi waliotangulia.
Pili;hali za huduma za afya TZ ni za juu sana chini ya utawala wa JK hata ikafikia ile kadhia ya kulala chini akina mama wajawazito pale Mwananyamale,Muhimbili na karibia hospital zote za TZ sasa haipo tena
Tatu;Rais wetu JK kadhibiti sana mfumuko wa bei na hivi sasa chini ya utawala wake shupavu shilingi yetu imepanda sana bei kulinganisha na bei ya dola ya kimarekani
Nne;wakulima hivi sasa wana uhakika wa kupata bei nzuri ya mazao yao kwani JK kaimarisha sana soko la ndani na la nje kwa products zitokazo mashambani mwetu hasa alipowapa pembejeo za kisasa wakulima wa TZ
JK kaifanyia mambo mengi sana TZ na mengine nitaendelea kuyataja siku zinazokuja lkn sidhani kama itakuwa vibaya kutoa wazo langu kwenye katiba mpya imtangaze JK kama Rais wa milele wa TZ ili kuenzi mazuri aliyoyafanya kwa miaka 5 tu ya uongozi wake!
Acha porojo wewe. Dr. Slaa alisema wakati wa kampeni kuwa kumchagua jk ni janga. Sasa wewe unasema tumpatie miaka 5 mingine!!!
Ni wehu tu watakaopinga kuwa JK amefanya mema mengi kwa WATANZANIA
Madudu ya EPA, MEREMETA et al yamefanyika wakati wa Mkapa
Muda mwingi amevumilia kutukanwa kwa ajili ya makosa ya wengine. Hakuna ikomavu wa kisiasa unaofanana na waa JK.
Sasa ameanza kuijenga nchi.
1. Elimu safi na itaendelea kuwa safi
2. Maji yanapatikana kila mahali na maeneo machache yasiyo na maji mikakati ya kuwapatia maji inaendelea
3. Afya bora inapatikana na amefanikiwa kuhamasisha upunguaji wa maambukizi ya VVU
4. Nchi ipo salama dhidi ya maadui wa ndani na wa nje
5. Watanzania bado tunapendana
6. Ametimiza ahadi yake kwa zanzibar kumalizwa kwa mpasuko
7............
8............
Nadhani katiba mpya imtendee haki, imwongezee miaka mingine mitano. Nina hakika Tanzania itakuwa kama Marekani.
Wapiga Tarumbeta kina Slaa ni Kelele za mlango tu.
Nawasilisha
Ni wehu tu watakaopinga kuwa JK amefanya mema mengi kwa WATANZANIA
Madudu ya EPA, MEREMETA et al yamefanyika wakati wa Mkapa
Muda mwingi amevumilia kutukanwa kwa ajili ya makosa ya wengine. Hakuna ikomavu wa kisiasa unaofanana na waa JK.
Sasa ameanza kuijenga nchi.
1. Elimu safi na itaendelea kuwa safi
2. Maji yanapatikana kila mahali na maeneo machache yasiyo na maji mikakati ya kuwapatia maji inaendelea
3. Afya bora inapatikana na amefanikiwa kuhamasisha upunguaji wa maambukizi ya VVU
4. Nchi ipo salama dhidi ya maadui wa ndani na wa nje
5. Watanzania bado tunapendana
6. Ametimiza ahadi yake kwa zanzibar kumalizwa kwa mpasuko
7............
8............
Nadhani katiba mpya imtendee haki, imwongezee miaka mingine mitano. Nina hakika Tanzania itakuwa kama Marekani.
Wapiga Tarumbeta kina Slaa ni Kelele za mlango tu.
Nawasilisha
craaaaaaa.........!!!!
Mawazo ya wana CCM yanafanana siku zote na hawaoni mbali hivyo hatushangai!