dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,138
- 3,042
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dr.Dimwa amesema kwamba CHAMA hicho kimeanza mchakato wakipeleka mapendekezo hayo baada wananchi wengi wa Visiwa hivyo kumtaka Dr Mwinyi aongezewe muda badala miaka mitano atawale miaka Saba.
Hii nikutokana na MAFANIKIO makubwa aliyoleta katika Visiwa hivyo Kwa kipindi Cha miaka mitatu aliyokaa Madarakani miongoni mwa MAFANIKIO hayo ni kuvuka sera za CHAMA hicho katika ujenzi wa Madarasa Kwa asilimia mia Moja na hamsini. Ujenzi wa hospital za kisasa Kwa Kila Wilaya ya Visiwa hivyo kizifanyia ukarabati barabara zote kuu na za ndani visiwani humo . Ujenzi wa flaiova
Na hivi karibu anatarajia kuanza ujenzi vituo vya TAXI za bahari kurejesha usafiri wa Treni ZANZIBAR mradi wa mabasi ya kisasa ya abiria yatakayokua yanatumia mfumo wa gesi
Kama haitoshi amejenga viwanja vya kisasa vya michezo ya ndani kuukarabati Uwanja wa Amani KUJENGA Parking ya kisasa katika Mji wa ZANZIBAR
Na mengine mengi
Hivyo Hilo likipita uchaguzi Mkuu wa ZANZIBAR utakua mwaka 2027 na Muhula wa pili atamaliza 2034
ZANZIBAR Yangaraaa
Hii nikutokana na MAFANIKIO makubwa aliyoleta katika Visiwa hivyo Kwa kipindi Cha miaka mitatu aliyokaa Madarakani miongoni mwa MAFANIKIO hayo ni kuvuka sera za CHAMA hicho katika ujenzi wa Madarasa Kwa asilimia mia Moja na hamsini. Ujenzi wa hospital za kisasa Kwa Kila Wilaya ya Visiwa hivyo kizifanyia ukarabati barabara zote kuu na za ndani visiwani humo . Ujenzi wa flaiova
Na hivi karibu anatarajia kuanza ujenzi vituo vya TAXI za bahari kurejesha usafiri wa Treni ZANZIBAR mradi wa mabasi ya kisasa ya abiria yatakayokua yanatumia mfumo wa gesi
Kama haitoshi amejenga viwanja vya kisasa vya michezo ya ndani kuukarabati Uwanja wa Amani KUJENGA Parking ya kisasa katika Mji wa ZANZIBAR
Na mengine mengi
Hivyo Hilo likipita uchaguzi Mkuu wa ZANZIBAR utakua mwaka 2027 na Muhula wa pili atamaliza 2034
ZANZIBAR Yangaraaa