Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,955
kwani bibilia ina watu fulani wa kuitumia? Na sio kwa watu na mataifa yote?
kuwa muelewa. Tatizo lako wewe ni mbumbumbu. Wanasema asiitumie kwa kuhalalisha maovu na kuhadaa watu. Watu wanasom zaidi ya miaka 7 kuitafsiri hiyo. Kasomea wapi?