Monstgala
JF-Expert Member
- Aug 25, 2009
- 1,079
- 1,034
WeWe W. J. Malecela nilifikiri una akili sana kutokana na jina lako< kumbe una pumba kumzidi yule orijino, ambae alig'ania kugombea ubunge mpaka akakataliwa kwenye kura za maoni. Si angestaafu toka alivyoachishwa kazi na Nyerere? hana haya, hata huyo mkewe mpya kakubalika, kuliko yeye.
Kilaza katoka nje ya topic. Umezidiwa?