Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
si sahihi kabisa mkuu... siungi mkono asilani
my point ni pale unaposema usitumie biblia kwasababu huijui au hauna upeo au maono
i dont bother what sh!t makamba says because i dont expect anything from him... what wesee now is laizer arguing with a fool, people might not notice the difference
dhamira ya makamba ilikufa zamani sana, ukiniuliza mimi ntakwambia nimemjua makamba akiwa mkuu wa mkoa wa dar kama mdhalimu, he is not worth anyones time
Lakini kaka katibu wa chama kinachotawala kauli zake lazima tuzipe uzito, hata kama they sound really idiotic...nimegundua hilo baada ya kuona uzito wa cheo chake. Kwamba wenzake ktk hicho chama wamekaa kimya it says a lot about that party..it seems wanaafikiana na maneno na matendo yake..na hapa ndio haswa ninapotatizwa na hii kadhia nzima.
Huenda anajua analolifanya, lakini i doubt that. Vitendo vya ARusha na Rukwa vinataka kumake official kwamba hivi vyama viwili ni vyama vya kidini. Na anaye-propell na ku-fuel hii idea ni Makamba na trupu lake. Kama tumeshafikia ktk hiyo threshold basi the beginning of the end has already started.