Unaitii mamlaka iliyoingia kihalali madarakani but sio iliyoingia via vote rigging
Biblia sio kitabu cha hadithi cha kuchezewa na kila mtu, watu wehu hamtakiwi kukitumia.
Sasa Chadema kinazidi kujidhihiisha kuwa na chama cha kidini na hasa Ukatoliki ambao kasomea Slaa, walikuwa wapi kulaani kwa nguvu watu wa Pemba walipouwa kipindi wanaandamana? sio hawa walithubutu kusema kuwa CUF inapaswa kulaumiwa kwa kukataa kutii amri ya Polis? na huyu Kikwete walisema ni chaguo la Mungu, iweje leo awe chaguo la shetani? au kwa sababu kaondoa memorandum of understanding?
kama sheikh yupi? acha uongo mtaje mwenye PHD in sharia law hapa Tanzania
Huwezi pata jibu hapo!
Sasa Chadema kinazidi kujidhihiisha kuwa na chama cha kidini na hasa Ukatoliki ambao kasomea Slaa, walikuwa wapi kulaani kwa nguvu watu wa Pemba walipouwa kipindi wanaandamana? sio hawa walithubutu kusema kuwa CUF inapaswa kulaumiwa kwa kukataa kutii amri ya Polis? na huyu Kikwete walisema ni chaguo la Mungu, iweje leo awe chaguo la shetani? au kwa sababu kaondoa memorandum of understanding?
Tatizo lenu mna wivu na kanisa katoliki! Mbowe ni mkatoliki? kanisa katoliki limeingiaje hapa?Sasa Chadema kinazidi kujidhihiisha kuwa na chama cha kidini na hasa Ukatoliki ambao kasomea Slaa, walikuwa wapi kulaani kwa nguvu watu wa Pemba walipouwa kipindi wanaandamana? sio hawa walithubutu kusema kuwa CUF inapaswa kulaumiwa kwa kukataa kutii amri ya Polis? na huyu Kikwete walisema ni chaguo la Mungu, iweje leo awe chaguo la shetani? au kwa sababu kaondoa memorandum of understanding?
Kwa hii tabia hata kama kuna kiongozi wa dini kajinyea uta uliza hakuwepo wa kiislam aliyejinyea?Samahani alikuwepo kiongozi wa kiislam ktk mazishi hayo alietoa hotuba?
Ufafanuzi wa biblia unahitaji uongozi wa Roho Mtakatifu ili ujue Mungu alichotaka kusema. sas kama unachambua kama Kitabu cha kiswahili huko roho yako ikiwa Chafu kama ya Makamba lazima utakuwa bias tu. Ila kitabu ni cha mtu yeyote anayekipenda ila kisitumiwe kuhalalisha uovu kama afanyavyo MakambaKwani Bibilia ina watu fulani wa kuitumia? Na sio kwa watu na Mataifa yote?
Wakati ule CUF ndio wenye nguvu, Chadema hakikuwa na nguvu. Mbona huulizi vyma vingine?
Hao maaskofu ndio waliopotosha watanzania kwa kutumia biblia bale walipowambia watanzania Kikwete ni chaguo la mungu!!
Nadhan Gurtu hukunipata vyema, mie nachosema hapa ni kuwa hawa Maaskofu mbona hawasimamii kutetea udhalimu kwa usawa?
kipindi CUF ikiwa na nguvu kama leo ilivyo CHADEMA waliwahi pia kuandamana huko Pemba kudai haki yao walipopokonywa ushindi kama CHADEMA walivyochakachuliwa Arusha, lakini Maaskofu walisema lawama zote ziwaendee viongozi wa CUF kwa kutotii amri ya Polis kuandamana, vipi wale wa Pemba si watanzania wenzetu kama wa Arusha?
Sasa Chadema kinazidi kujidhihiisha kuwa na chama cha kidini na hasa Ukatoliki ambao kasomea Slaa, walikuwa wapi kulaani kwa nguvu watu wa Pemba walipouwa kipindi wanaandamana? sio hawa walithubutu kusema kuwa CUF inapaswa kulaumiwa kwa kukataa kutii amri ya Polis? na huyu Kikwete walisema ni chaguo la Mungu, iweje leo awe chaguo la shetani? au kwa sababu kaondoa memorandum of understanding?
Ndio maana tunawaambia kila siku humu kuna vitoto havijui mambo mnabisha. Matokeo yake mnakuwa mashupavu katika ujinga. hiyo sio PHD? Au wewe wataka ya Cannon Law tu. Fanyeni research kabla hamjaropoka humu kwenye blog yenu.
PROFESSOR : Juma Mikidadi Omari
PhD (Philosophy & Islamic studies) Edinburgh University
M.A. (Logic & Oriental Studies) SUUD;
B.A. (Islamic Law) Medina University.
Kwani Bibilia ina watu fulani wa kuitumia? Na sio kwa watu na Mataifa yote?