Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 12,231
- 9,552
Kwa hiyo Gwajima aliitwa kusuluhisha nini huko CHADEMA? Mbona waandishi wetu hamuitendei haki tasnia ya habari?
Gwajima kasema kiutu uzima hawezi akamdhalilisha padri wa watu,alichokwenda kusuluhisha ni mgogoro wa Slaa kutupiwa mabegi nje na mamsapu wake vinginevyo mzee wetu angeendelea kulala ndani ya gari,Gwajima ameingiza CHADEMA na ofisi ya chama ili kumustahi mzee wetu asiendelee kuumbuka zaidi.