Maaskofu, wananchi ‘wamchanachana’ Slaa

Maaskofu, wananchi ‘wamchanachana’ Slaa

Sasa Dk wa mihogo atarudisha chenji au ndio itabidi apewe kibarua kingine na wawekezaji?Maana naona muda huu watakuwa wameshaanza kudai chao na sidhani kama josshumbu atakubali chapaa itoke.
 
Amefanya ndani ya vikao imeshindikana na ndio maana akaamua kukaa pembeni na huo ndio uungwana....ulitaka endelee kuwa ndani ya vikao kwa kitu asicho kiamini? impact ikiwa kwa ccm kuba ubaya gani?

Kwa kiongozi mzuri alitakiwa kunyamaza.Ukigombana na Mkeo au mumeo unaenda kuita waandishi wahabari na kutoa kasoro au sababu ya ndoa yenu kuvunjika???

Kama kiongozi amekosea.
 
Back
Top Bottom