milioni milioni
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 1,845
- 1,064
...,teh.......,teh.............teh.
afu hajawatuhumu mashehe acha uzandiki
Dr Slaa ana leta mambo ya bungeni ya akina Mwakyembe kama ni mkweli na kama hajanunuliwa na CCM kumpigia kampeni Magufuli ni kwa nini hajamtendea haki Lowassa kwa kueleza jinsi TAKUKURU ambao ni watalamu wa kupeleleza walivyomuona kuwa hausiki na ufisadi kama alivyotuhumiwa.
Akafie mbali Leo baada ya kusema ukweli?alupousema lowasa akiwa shujaa mlishangilia nyie ni wanafiki tuakafie mbele huyo slaa si tunasonga mbele...!!! mti wenye matunda (lowasa) ndo unaopigwa mawe...hata hvyo simba mwenda pole ndo mla nyama...kimya kimya mpaka ikulu
Mbona mbatia Leo kasema wake kimia kuna mini hapo? kwenye akili tunajua,Wawekewe mdahalo tu Gwajima vs Slaa...full stop
Sasa Dr slaa kila mtu kwake ni mbaya kasoro Josephine!! Sasa hata kambi yake kainyea!
Gwajima aliitwa kusuluhisha nini na nani?
Mtu akiwa mzinzi huwa haaminiki maana amezoea kudanganya
Hawa viongozi wa dini hawashibi wanazo pata kutoka kwa waumini? Kama huyu kenge ndio hafai kabisa, yeye hela kidogo tu basi atafanya unacho kitaka.
Huyu tutamshughulikia baada ya uchaguzi, tunamuweka kiporo kwa sasa.
Dr slaa na lipumba kila mmoja alitaka kugombea urais unadhani madogo hayo![/QUOTE
]
Tatizo sio urais kwani slaa alipomtaja kwenye list of shame kurikuwepo urais pia,alipoyasema hayo 2010 lowasa alikuwepo kwenye urais?