Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,125
- 8,231
Hata mwendazake alishawahi kukashifu kama hivyo, ila Mungu akafanya aliyoyafanya.Maaskofu wapumbavu tu hao..kwanza tutaanza kuwadukua tuwajue na madem zao..tuwaanike..
R.I.P JPM
Hata mwendazake alishawahi kukashifu kama hivyo, ila Mungu akafanya aliyoyafanya.Maaskofu wapumbavu tu hao..kwanza tutaanza kuwadukua tuwajue na madem zao..tuwaanike..
Maaskofu wasije kuwa wameeanza matamko yao kwa kuwa Rais wa sasa ni Muislamu, mbona wakati wa utawala wa Hayati Magufuli hawakuwa wakimshauri masuala ya kufuata haki na utii wa sheria na katiba.
Na bado wanaishi kwa sadaka zetuHao wanaojiita maaskofu ndio walipotufikisha hapa. Dini za wakoloni na bado wanatuambia tudharau asili yetu.
badala waseme tuachane na hizo dini za wageni. Halafu wanavyojiita maaskofu waache na waje tujenge nchi.
hamna kitu kutoka kwa hawa wakoloni weusi wenye kofia ya dini za kikoloni.
Hawa hawajawahi kunyamaza,fuatiliaMbona mliufyata kwa kipindi chote? Mlikuwa wapi?
Tena naongeza.fuc.k them....mimi mtu anaeish kwa msadaa wa sadaka ndo avae na ale halaf aje atoe tamko namwona kama mbuz tu...Lugha uliyotumia wala si ya kistaarabu. Kwani baya gani waliloongea hadi utukane? Hivi kwanini hampendi kusikia neno haki likitamkwa? Binadamu tuna shida kubwa sana.
Duu, wameona JPM kasepa wameanza kuchomoza
Unahis mungu huwa anaji involve na vitu cheap kiasi hko...kumbe hujamjua mungu wa kwel ni yup ndugu..endelea kukaririshwa hao miungu wa kwenye vitabu ...mungu wa kwel hafany visasi vya kibinadam..hao miungu wenu wana characters za wanadamu.wana visasi..so dont u ever preach to me..kama ni akili ndogo..ever.Hata mwendazake alishawahi kukashifu kama hivyo, ila Mungu akafanya aliyoyafanya.
R.I.P JPM
Naamini wewe ni AFANDE SELE uliyejificha kwenye fake ID.Maaskofu wapumbavu tu hao..kwanza tutaanza kuwadukua tuwajue na madem zao..tuwaanike..
Kwani umelazimishwa kutoa hizo sadaka Bwashee!! Si unatoa kwa hiyari yako mwenyewe!! Tena kama ndiyo unasali kwa Mwamposa, utakuta unanunua mpaka maji, mafuta, sabuni, na vitambaa vyenye "upako" 😇Na bado wanaishi kwa sadaka zetu
Mzee WA nyagi ye mapambio kwenda mbele, Rashid ndo msanii anafufuaga walio hai waliokufa hasogei.Kwa hawa watatu sawa, nilidhani wameongezeka wengine wanaoshauri toka lile kundi la Mapambio.
So fuc.k what...mim akili kubwa...siwez hata sku1 kaa na heshim hao maaskofu ambao ni politics oriented .wako kimaslah zaid na wamemwacha Mungu wa kweli....never..Naamini wewe ni AFANDE SELE uliyejificha kwenye fake ID.
Mim si muumin wa dini ndugu yangu..mim naongea na Mungu directly .i dont need somebody to preach to me ili nimjue Mungu..ukiwa na akili unauona uwepo wa Mungu hata kama huend huko makanisan or msikitini..niliacha kwenda huko nna mwaka wa 10 huu..i talk to God directly.Kwani umelazimishwa kutoa hizo sadaka Bwashee!! Si unatoa kwa hiyari yako mwenyewe!! Tena kama ndiyo unasali kwa Mwamposa, utakuta unanunua mpaka maji, mafuta, sabuni, na vitambaa vyenye "upako"
Wewe AFANDE SELE mwanzo jeuri zilikujaa, ila ulinyooka subir na endelea na kejeri mwisho sio mzuri...So fuc.k what...mim akili kubwa...siwez hata sku1 kaa na heshim hao maaskofu ambao ni politics oriented .wako kimaslah zaid na wamemwacha Mungu wa kweli....never..
Mwanakondo kashinda,tumfuate