Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,554
- 12,674
JIBU NI NDIO,ILA JIWE ALIKUWA NI SIKIO LA KUFA.....Hebu tujiulize hao maaskofu, walikuwa wakitoa ushauri wa aina hiyo wa kuzingatia haki kwa wananchi kwa "predecessor" wake Jiwe?
JIBU NI NDIO,ILA JIWE ALIKUWA NI SIKIO LA KUFA.....Hebu tujiulize hao maaskofu, walikuwa wakitoa ushauri wa aina hiyo wa kuzingatia haki kwa wananchi kwa "predecessor" wake Jiwe?
Hebu tujiulize hao maaskofu, walikuwa wakitoa ushauri wa aina hiyo wa kuzingatia haki kwa wananchi kwa "predecessor" wake Jiwe?
Au kwa kuwa wameona huyu ni mwanamama na muislam, ndiyo wanajifanya kimbembele, wakidai kuwa wao ni watumishi wa Mungu na wanatoa maelekezo!
Maaskofu wasije kuwa wameeanza matamko yao kwa kuwa Rais wa sasa ni Muislamu, mbona wakati wa utawala wa Hayati Magufuli hawakuwa wakimshauri masuala ya kufuata haki na utii wa sheria na katiba.
Ni kweli Mkuu, ila kama walikuwa wanasema kwa woga fulani hiviMkuu hata jiwe lilipokuwa hai walikuwa wanasema sana kuipinga Serikali yake.
Magufuli akejeli waraka wa maaskofu Tanzania - BBC News Swahili
Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli ameupuuzilia waraka wa maaskofu uliotolewa wakati wa kuanza kwa msimu wa Pasaka akisema hauna msingi wowote ule.www.bbc.com
Mbona Bagonza na Mwamakula walikuwa wanatoa Kila Siku. Mwamakula mpaka alikamatwa hivi karibuni kwa kuaandaa maandamano...!!Maaskofu wasije kuwa wameeanza matamko yao kwa kuwa Rais wa sasa ni Muislamu, mbona wakati wa utawala wa Hayati Magufuli hawakuwa wakimshauri masuala ya kufuata haki na utii wa sheria na katiba.
Kweli nimeamin wananchi bado tuna tatizo si bure Rais ni better ashauriwe mana kuzibwa midomo kwa Raia ni hatari sana yatupasa tujue pia haki zetu za msingi na pale unapoona hutendewi haki basi upate pa kuitafutia haki yako kuliko kukaa kimya kisa huna pa kuongelea ni adhabu kubwa sana iyooWachawi tu hawa hawana lolote pro-maslahi hawa, hapo wanawaza kutatokea nini baada ya hili tukio. Muacheni Rais afanye kwa weledi wake sio muanze kunuongoza nini cha kufanya kwa maslahi yenu.
Jamaa inaonekana una hasirà sana na maaskofu ila ukisoma vzuri ni kwamba wameshauri hawajacommandUnahis mungu huwa anaji involve na vitu cheap kiasi hko...kumbe hujamjua mungu wa kwel ni yup ndugu..endelea kukaririshwa hao miungu wa kwenye vitabu ...mungu wa kwel hafany visasi vya kibinadam..hao miungu wenu wana characters za wanadamu.wana visasi..so dont u ever preach to me..kama ni akili ndogo..ever.
Huyo mungu ulimjuaje km hukuhubiriwa kwanza ndipo ukamjua mungu, ubahili wako wa kutotoa sadaka ndo unawahukumu maaskaofu km unawatukana wenzio ni mungu yupo unayemuomba anayeruhusu matusi?Mim si muumin wa dini ndugu yangu..mim naongea na Mungu directly .i dont need somebody to preach to me ili nimjue Mungu..ukiwa na akili unauona uwepo wa Mungu hata kama huend huko makanisan or msikitini..niliacha kwenda huko nna mwaka wa 10 huu..i talk to God directly.
Mkuu BAK, huoni kuwa matamko hayo yalichelewa sana kutolewa kuhusu masuala ya usawa na haki za binadamu? Maaskofu hao walikuwa wapi nyakati zile watu wakibambikiwa kesi za uchochezi, wakitekwa, wakiumizwa na wengine hata kuuwawa?Huoni aibu kusema uongo!?
Watakwambia mbona Pengo na Bakwata hawajatoa ushauri?Aya sasa tusubiri tuone kama ushauri huo utachukuliwa na kuwekwa kwenye consideration.
Mkuu BAK, huoni kuwa matamko hayo yalichelewa sana kutolewa kuhusu masuala ya usawa na haki za binadamu? Maaskofu hao walikuwa wapi nyakati zile watu wakibambikiwa kesi za uchochezi, wakitekwa, wakiumizwa na wengine hata kuuwawa?