Kama Ukichukua Tunda Bovu na Ukaweka Kwenye Tunda Nzuri Kipi Kinatokea ?? Fangasi Kwenye Tunda Bovu Itasambaa Mpaka Kwenye Matunda Mazuri na Kuharibu Yote. Hii Inatokea Pale Unapozungukwa Na Watu Wajinga.. Utakua Kama Wao.View attachment 1352381
[/QUOTE
😇😇😇 doh!
Usijadilisne na mjinga.Kama Ukichukua Tunda Bovu na Ukaweka Kwenye Tunda Nzuri Kipi Kinatokea ?? Fangasi Kwenye Tunda Bovu Itasambaa Mpaka Kwenye Matunda Mazuri na Kuharibu Yote. Hii Inatokea Pale Unapozungukwa Na Watu Wajinga.. Utakua Kama Wao.View attachment 1352381
Hakuna shida yenye kudumu.“Mabawa madogo hayakuzuii kupaa” Waweza kuwa katikahali ngumu kwa sasa ama mambo yako hayaendi lakini ukiwa mtazamo chanya juu ya yanayojiri kwenye maisha yako lazima utapaa tu na kusonga mbele. Jioni njemaView attachment 1352386
AiseeKama Ukichukua Tunda Bovu na Ukaweka Kwenye Tunda Nzuri Kipi Kinatokea ?? Fangasi Kwenye Tunda Bovu Itasambaa Mpaka Kwenye Matunda Mazuri na Kuharibu Yote. Hii Inatokea Pale Unapozungukwa Na Watu Wajinga.. Utakua Kama Wao.View attachment 1352381
Na kupanga ni sehemu ya kuchagua!Hakuna shida yenye kudumu.
Na hakuna raha yenye kudumu.
Maisha kama maisha ni raha na shida.
Ila maisha mazuri ni raha tupu na maisha magumu ni ugumu tupu.
Lakini kama unaishi basi jua raha ni zako na shida ni zako.
Hakika kila penye uzito basi mbele kuna wepesi,kama ambavyo kila penye kilima kikubwa basi mbele huko kuna mteremko mzuiri sana.
Ishi kwa kuchagua,usichague tu kuishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂 😂 😂 😂 😂Hii Inatokea Pale Unapozungukwa Na Watu Wajinga.. Utakua Kama Wao
Inasikitisha sanaKama Ukichukua Tunda Bovu na Ukaweka Kwenye Tunda Nzuri Kipi Kinatokea ?? Fangasi Kwenye Tunda Bovu Itasambaa Mpaka Kwenye Matunda Mazuri na Kuharibu Yote. Hii Inatokea Pale Unapozungukwa Na Watu Wajinga.. Utakua Kama Wao.View attachment 1352381
Inatia Moyo | Very inspirational.“Mabawa madogo hayakuzuii kupaa” Waweza kuwa katikahali ngumu kwa sasa ama mambo yako hayaendi lakini ukiwa mtazamo chanya juu ya yanayojiri kwenye maisha yako lazima utapaa tu na kusonga mbele. Jioni njemaView attachment 1352386
Negative Energy ni diseas kama ilivyo magonjwa.Kama Ukichukua Tunda Bovu na Ukaweka Kwenye Tunda Nzuri Kipi Kinatokea ?? Fangasi Kwenye Tunda Bovu Itasambaa Mpaka Kwenye Matunda Mazuri na Kuharibu Yote. Hii Inatokea Pale Unapozungukwa Na Watu Wajinga.. Utakua Kama Wao.View attachment 1352381