Maandamano Yajayo yasipangiwe Tarehe, yafuate kwenye mikutano yote Public yenye viongozi wakuu

Maandamano Yajayo yasipangiwe Tarehe, yafuate kwenye mikutano yote Public yenye viongozi wakuu

Clack-Sniper

Member
Joined
May 16, 2025
Posts
39
Reaction score
74
Maoni yangu kwa Wananchi na Gen Z. Kwenye maandamano yatayofuata tufuate siku ambapo kuna public event ambayo lazima watu watatoka.

Siku ya uchaguzi ilikuwa rahisi kwa sababu hawakuweza kuzuia watu wasitoke maana watu walitakiwa kwenda kupiga kura.

Awamu nyingine iwe kwenye mikutano ya Viongozi yeyote Raisi au Waziri tuwafuate na Mabango yetu. Hawataweza kuzuia watu wasiende maana tukio limeandaliwa kwa ajili ya watu kuhudhuria.

Hii ya Leo wamewaza kwa sababu hakukuwa na Event nyingine public leo na watu hawaendi maofisini ndio maana imekuwa rahisi kwao kuzuia Barabara zote
 
Ndo akili yako ilipokomea hapo aisee 😅😅😅

Huwezi hata kuchekecha ubongo hata kidogo?

Akili yako inawaza maandamano tu hakuna njia nyingine ya kupata reforms?😅😅

Ukiona hivyo Ujue sio Muandamanaji
 
wewe wacha ujinga, unataka siku ya kazi, ili watu wafe? wapate vilema, watiwe ndani? huku mange anataka iwe x-mas ili watu wasifurahie na familia zao ziwe roho juu, huku wewe siku ya kazi ili watu wataharuki, nyinyi ni maadui sana wa taifa hili, mimi kweli naichukia ccm lakini amani ya nchi yangu nimeiweka mbele sana, japo kuwa sipo tanzania kitambo, ila tanzania inaniuma sana tena sana maana huko mie ndio kwetu, na nakupenda, japo mambo ya ccm siyapendi kabisa, lakini nchi ya tanzania naipenda sana hata kuliko huku ninakoishi ambapo sina shida hata kidogo ya kitu chochote naishi kwa raha haswa.
lakini tanzania kwanzaaaaa, sio ccm, usalama kwanzaaa
 
Ndo akili yako ilipokomea hapo aisee 😅😅😅

Huwezi hata kuchekecha ubongo hata kidogo?

Akili yako inawaza maandamano tu hakuna njia nyingine ya kupata reforms?😅

Ndo akili yako ilipokomea hapo aisee 😅😅😅

Huwezi hata kuchekecha ubongo hata kidogo?

Akili yako inawaza maandamano tu hakuna njia nyingine ya kupata reforms?😅😅
Akili yako ndio inadhani kuna namna tofauti zaidi ya kusikilizwa. Kama hakuna uchaguzi huru kuna namna nyingine. Au unataka wote wabebe Bunduki waingie nazo mtaani?
 
Maandamano ya siku za sikukuu ni magumu sana, kwasababu serikali wanapata nafasi ya kufungia watu ndani ila ikiwa siku ya kawaida ni ngumu kuzuia watu kuingia mjini.
 
Ndo akili yako ilipokomea hapo aisee 😅😅😅

Huwezi hata kuchekecha ubongo hata kidogo?

Akili yako inawaza maandamano tu hakuna njia nyingine ya kupata reforms?😅😅
Hakuna njia yoyo ya kutoa Hawa makahaba.
 
wewe wacha ujinga, unataka siku ya kazi, ili watu wafe? wapate vilema, watiwe ndani? huku mange anataka iwe x-mas ili watu wasifurahie na familia zao ziwe roho juu, huku wewe siku ya kazi ili watu wataharuki, nyinyi ni maadui sana wa taifa hili, mimi kweli naichukia ccm lakini amani ya nchi yangu nimeiweka mbele sana, japo kuwa sipo tanzania kitambo, ila tanzania inaniuma sana tena sana maana huko mie ndio kwetu, na nakupenda, japo mambo ya ccm siyapendi kabisa, lakini nchi ya tanzania naipenda sana hata kuliko huku ninakoishi ambapo sina shida hata kidogo ya kitu chochote naishi kwa raha haswa.
lakini tanzania kwanzaaaaa, sio ccm, usalama kwanzaaa
njoo uchukue buku 7 yako
 
Kumkamata mnyama yeyote mkali inatakiwa akili sana na sio mnayoenda
Kuishinda CCM kwa maandamano hilo haliwezekani mtakufa na wengine kubaki na ulemavu wa kudumu na kuitesa familia yako
Tumieni akili na sio hisia au ushawishi wa kindezi
 
Nyumbu kwenye harakati zenu za kumuona mamba na kusema kuwa ni gogo huwa hamshahauriki hadi mliwe.

Tokeni siku yoyote risasi ambazo hazijatumika leo hazitaoza zitatumika saa yoyote mtakayoleta unyumbu wenu wa wizi na uharibifu wa mali za watu
 
Akili yako ndio inadhani kuna namna tofauti zaidi ya kusikilizwa. Kama hakuna uchaguzi huru kuna namna nyingine. Au unataka wote wabebe Bunduki waingie nazo mtaani?
WaTanzania wengi hatuna Critical thinking skills aisee 😅😅
 
Nyumbu kwenye harakati zenu za kumuona mamba na kusema kuwa ni gogo huwa hamshahauriki hadi mliwe.

Tokeni siku yoyote risasi ambazo hazijatumika leo hazitaoza zitatumika saa yoyote mtakayoleta unyumbu wenu wa wizi na uharibifu wa mali za watu
 

Attachments

  • 29288.jpg
    29288.jpg
    48.8 KB · Views: 9
wewe wacha ujinga, unataka siku ya kazi, ili watu wafe? wapate vilema, watiwe ndani? huku mange anataka iwe x-mas ili watu wasifurahie na familia zao ziwe roho juu, huku wewe siku ya kazi ili watu wataharuki, nyinyi ni maadui sana wa taifa hili, mimi kweli naichukia ccm lakini amani ya nchi yangu nimeiweka mbele sana, japo kuwa sipo tanzania kitambo, ila tanzania inaniuma sana tena sana maana huko mie ndio kwetu, na nakupenda, japo mambo ya ccm siyapendi kabisa, lakini nchi ya tanzania naipenda sana hata kuliko huku ninakoishi ambapo sina shida hata kidogo ya kitu chochote naishi kwa raha haswa.
lakini tanzania kwanzaaaaa, sio ccm, usalama kwanzaaa
We nae hizo elimu huwa mnazomea wapi,unashindwaje kuchambua jambo dogo kiasi hiki.
Kwani umeambiwa waandamanaji hawapendi nchi yao,it's obviously wanaipenda nao hawapendi mambo yanayofanywa na CCM yetu kama ambavyo ww hupendi so hayo mambo yatabadilishwa kwa njia gani labda???
 
We nae hizo elimu huwa mnazomea wapi,unashindwaje kuchambua jambo dogo kiasi hiki.
Kwani umeambiwa waandamanaji hawapendi nchi yao,it's obviously wanaipenda nao hawapendi mambo yanayofanywa na CCM yetu kama ambavyo ww hupendi so hayo mambo yatabadilishwa kwa njia gani labda???
soma vizuri nilichokiandika
 
Back
Top Bottom