Utabiri: Serikali itatumia viongozi wa dini kutaka kuzuia maandamano

Salary Slip

Platinum Member
Apr 3, 2012
49,033
151,255
Baada ya CHADEMA kupitia Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe kutangaza maandamano, wazo lilionijia ni CCM kutafu mbinu ya kuzuia haya maandamano yasifanyike na mojawapo ni kuwatumia viongozi wa dini.

Alichofanya leo Padri Kitine ni hatua tu ya awali ila mipango itakuwa teyari imeandaliwa au inaandaliwa ambapo viongozi wa CHADEMA na wa Serikali wataitwa Ikulu Sambamba na viongozi wa dini kujadili namna ya kumaliza hayo maandamano.

Baada ya kikao hicho cha Ikulu, Waziri wa Mambo ya Ndani, IGP na hata DG wa TISS wataondolewa kama sehemu ya makubaliano na hili litafanyika kuwaridhisha viongozi wa CHADEMA na pia CCM na Serikali yake watataka kuonekana wamechukua hatua.

IGP, Kingai na Mafwele, ndio watakuwa wa kwanza kuondolewa ila watafutiwa kazi zingine lengo kusitisha maandamano na kumuokoa Bi Mkubwa na madhara ya watu kuuwawa au kuumizwa kwenye maandamano.

Watakubaliano mambo mengi zaidi ya hayo, ila haya niliyoyasema, lazima yatakuwa miongoni mwa hayo makubaliano bila kusahau madai ya wapinzani kuhusu uendeshaji wa uchaguzi wa Serikali za mitaa ambayo nayo yatajadilwa siku hiyo au katika tarehe nyingine watayokubaliana na baada ya kikao, maandamano yatasitishwa.

Kuhusu uchaguzi wa Serikali za mitaa, uchaguzi unaweza kusogezwa mbele na kesi ya kupinga TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za mitaa inaweza kuondolewa mahakamani au ikaendela sambamba na mazungumzo.

Pia, sheria inayowapa watu wa usalama wa Taifa haki na mamlaka ya kukamata watu na kuwaweka ndani huku wakiwa na kinga ya kutoshitakiwa, inaweza kuwa ni moja ya hoja itayojadiliwa. kwani utaratibu huu mpya unalamikiwa sana na unahusishwa sana na kukithiri kwa vitendo vya watu kutekwa na kupotea.


Kwanini Padri Kitine anatumikq/atatumika?

Wataalikwa viongozi wa dini zote, lakini lazima Padri Kitine awepo na sababu kubwa ni moja tu: ushawishi alionao kwa wapinzani kwasababu siku zote amekuwa upande wa haki akiungana na wapinzani kukemeo maovu yanayoendelea nchini, hivyo ni rahisi kuwashawishi wapinzani katika kufikia makubaliano ya kusitish maandamano na mambo menginyo.

Hata hivyo, CCM watatekeleza baadhi ya mamba tena kwa muda tu na baadae mambo yale yale yatajirudia tena.

Kutakuwa na athari gani?

Wananchi na wanaharakati mbalimbali watakuwa disappointed, na kwa upande wa CCM, wataendelea kupoteza imani ndogo wapinzani waliyonayo kwao na hivyo huko mbeleni, kuna hatari ya wapinzani kuja kukataa kabisa kukaa chini na viongozi wa CCM na Serikali yake kujadili jambo lolote mpaka maafa yatokee.

Huu ndio utabiri na pia ndio mtazamo wangu wa mambo.

Nimemaliza, muda utaongea.
 
Tatizo hakuna upendo wa kweli miongoni mwa wanasiasa katika kukubaliana jambo kiutekelezaji.
Japo Mama anajifanya kukaa kimya, ukweli nii kwamba, hatokubali maandamano yatakayoua watu kwani atachafuka zaidi na hivyo atatumia kila mbinu kusitisha haya maandamano.

Hata Nchimbi kuongea na waandishi ilikuwa kuwa tu ni sehemu ya mkakati wa awali wa kupoza joto na ndio maana mkaona anaawaongelea wapinzani in a positive way.
 
Baada ya CHADEMA kupitia Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe kutangaza maandamano, wazo lilionijia ni CCM kutafu mbinu ya kuzuia haya maandamano yasifanyike na mojawapo ni kuwatumia viongozi wa dini.

Alichofanya leo Padri Kitine ni hatua tu ya awali ila mipango itakuwa teyari imeandaliwa au inaandaliwa ambapo viongozi wa CHADEMA na wa Serikali wataitwa Ikulu Sambamba na viongozi wa dini kujadili namna ya kumaliza hayo maandamano.

Baada ya kikao hicho cha Ikulu, Waziri wa Mambo ya Ndani, IGP na hata DG wa TISS wataondolewa kama sehemu ya makubaliano na hili litafanyika kuwaridhisha viongozi wa CHADEMA na pia CCM na Serikali yake watataka kuonekana wamechukua hatua.

IGP, Kingai na Mafwele, ndio watakuwa wa kwanza kuondolewa ila watafutiwa kazi zingine lengo kusitisha maandamano na kumuokoa Bi Mkubwa na madhara ya watu kuuwawa au kuumizwa kwenye maandamano.

Watakubaliano mambo mengi zaidi ya hayo, ila haya niliyoyasema, lazima yatakuwa miongoni mwa hayo makubaliano bila kusahau madai ya wapinzani kuhusu uendeshaji wa uchaguzi wa Serikali za mitaa ambayo nayo yatajadilwa siku hiyo au katika tarehe nyingine watayokubaliana na baada ya kikao, maandamano yatasitishwa.

Kuhusu uchaguzi wa Serikali za mitaa, uchaguzi unaweza kusogezwa mbele na kesi ya kupinga TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za mitaa inaweza kuondolewa mahakamani au ikaendela sambamba na mazungumzo.

Pia, sheria inayowapa watu wa usalama wa Taifa haki na mamlaka ya kukamata watu na kuwaweka ndani huku wakiwa na kinga ya kutoshitakiwa, inaweza kuwa ni moja ya hoja itayojadiliwa. kwani utaratibu huu mpya unalamikiwa sana na unahusishwa sana na kukithiri kwa vitendo vya watu kutekwa na kupotea.


Kwanini Padri Kitine anatumikq/atatumika?

Wataalikwa viongozi wa dini zote, lakini lazima Padri Kitine awepo na sababu kubwa ni moja tu: ushawishi alionao kwa wapinzani kwasababu siku zote amekuwa upande wa haki akiungana na wapinzani kukemeo maovu yanayoendelea nchini, hivyo ni rahisi kuwashawishi wapinzani katika kufikia makubaliano ya kusitish maandamano na mambo menginyo.

Hata hivyo, CCM watatekeleza baadhi ya mamba tena kwa muda tu na baadae mambo yale yale yatajirudia tena.

Kutakuwa na athari gani?

Wananchi na wanaharakati mbalimbali watakuwa disappointed, na kwa upande wa CCM, wataendelea kupoteza imani ndogo wapinzani waliyonayo kwao na hivyo huko mbeleni, kuna hatari ya wapinzani kuja kukataa kabisa kukaa chini na viongozi wa CCM na Serikali yake kujadili jambo lolote mpaka maafa yatokee.

Huu ndio utabiri na pia ndio mtazamo wangu wa mambo.

Nimemaliza, muda utaongea.
Serikali hii dhalimu inatumia nguvu kubwa sana kuzuia haya maandamano, wala wasiwasumbue viongozi wa dini, wawaachie kina Soka na wengine ambao imewateka kwanza ndiyo tujadiliane kinyume na hapo maandamano yako pale pale.
 
Serikali hii dhalimu inatumia nguvu kubwa sana kuzuia haya maandamano, wala wasiwasumbue viongozi wa dini, wawaachie kina Soka na wengine ambao imewateka kwanza ndiyo tujadiliane kinyume na hapo maandamano yako pale pale.
Mimi nakwambia viongozi wa CHADEMA wataitwa Ikulu labda wasiendelea na maandalizi yao.
 
Sipingani kabisa na mleta mada. Uwezekano huo ni mkubwa.

Utekaji na mauaji, kwa ushahidi wa waliotekwa na wa kimazingira, ni dhahiri unafanywa na Serikali. Ukweli huo unajulikana kwa kila mtu mpaka kwa jamii ya kimataifa, rejea matamko ya nyaraka za mabalozi wa nchi mbalimbali.

Utekaji na mauaji, ni vitendo ambavyo vimekuwa vikifanywa na kikundi cha 'Task Force, chini ya bwana Mafwele, ambacho kipi chini ya Ikulu", ukweli huu unaifanya ikulu kuwa mhusika wa moja kwa moja.

NA ikumbukwe kwamba, Rais Samia alikwishawahi kutoa kauli kuwa hakuna utrkaji wala mauaji, hizo ni drama tu. Ni dhahiri alijua watu wanaofanya vitrndo hivyo, lakini aliamua kunyamaza kwa sababu aliamini kuwa vinafanywa kwaajili ya manufaa yake.

Kwa kuzingatia hayo yote, ndiyo Samia mwenyewe anaona kabisa kuwa yeye siyo mtu sahihi wa kuliongelea hili tena. Maana chochote atakachokitamka itaonekana ni unafiki tu, kwani toka mwanzo hakuonesha dhamira yoyote ya kukomesha matukio haya.

Kwa kulijua hilo, ndiyo maana wanataka kumtumia Dr Nchimbi. Kwanza Nchimbi siyo kiongozi wa Serikali, na anaweza kujitetea kuwa hakujua huu uchafu uliokuwa ukifanyika Serikalini, na akaaminika, kuliko Samia akisema kuwa eti alikuwa hafahamu.

Hivyo kuanzia sasa, kwenye kadhia hii, tusubiria kumwona Nchimbi akichukua nafasi ya muhimu kwenye mazungumzo yote. Na Nchimbi hatataka kuona watu wengine zaidi wakiuawa au kuumizwa kwenye maandamano. Hivyo kutakuwa na jitihada kubwa ya kuyazuia bila ya kutumia nguvu, na polisi watafumvwa midomo ili wasiamshe hasira za wananchi.

Kama ulivyosema, Mwafwele, Wambura, Madauni, hata yule wa TISS, wanasuburia tu muda sahihi wa kuondolewa.
 
Baada ya CHADEMA kupitia Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe kutangaza maandamano, wazo lilionijia ni CCM kutafu mbinu ya kuzuia haya maandamano yasifanyike na mojawapo ni kuwatumia viongozi wa dini.

Alichofanya leo Padri Kitine ni hatua tu ya awali ila mipango itakuwa teyari imeandaliwa au inaandaliwa ambapo viongozi wa CHADEMA na wa Serikali wataitwa Ikulu Sambamba na viongozi wa dini kujadili namna ya kumaliza hayo maandamano.

Baada ya kikao hicho cha Ikulu, Waziri wa Mambo ya Ndani, IGP na hata DG wa TISS wataondolewa kama sehemu ya makubaliano na hili litafanyika kuwaridhisha viongozi wa CHADEMA na pia CCM na Serikali yake watataka kuonekana wamechukua hatua.

IGP, Kingai na Mafwele, ndio watakuwa wa kwanza kuondolewa ila watafutiwa kazi zingine lengo kusitisha maandamano na kumuokoa Bi Mkubwa na madhara ya watu kuuwawa au kuumizwa kwenye maandamano.

Watakubaliano mambo mengi zaidi ya hayo, ila haya niliyoyasema, lazima yatakuwa miongoni mwa hayo makubaliano bila kusahau madai ya wapinzani kuhusu uendeshaji wa uchaguzi wa Serikali za mitaa ambayo nayo yatajadilwa siku hiyo au katika tarehe nyingine watayokubaliana na baada ya kikao, maandamano yatasitishwa.

Kuhusu uchaguzi wa Serikali za mitaa, uchaguzi unaweza kusogezwa mbele na kesi ya kupinga TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za mitaa inaweza kuondolewa mahakamani au ikaendela sambamba na mazungumzo.

Pia, sheria inayowapa watu wa usalama wa Taifa haki na mamlaka ya kukamata watu na kuwaweka ndani huku wakiwa na kinga ya kutoshitakiwa, inaweza kuwa ni moja ya hoja itayojadiliwa. kwani utaratibu huu mpya unalamikiwa sana na unahusishwa sana na kukithiri kwa vitendo vya watu kutekwa na kupotea.


Kwanini Padri Kitine anatumikq/atatumika?

Wataalikwa viongozi wa dini zote, lakini lazima Padri Kitine awepo na sababu kubwa ni moja tu: ushawishi alionao kwa wapinzani kwasababu siku zote amekuwa upande wa haki akiungana na wapinzani kukemeo maovu yanayoendelea nchini, hivyo ni rahisi kuwashawishi wapinzani katika kufikia makubaliano ya kusitish maandamano na mambo menginyo.

Hata hivyo, CCM watatekeleza baadhi ya mamba tena kwa muda tu na baadae mambo yale yale yatajirudia tena.

Kutakuwa na athari gani?

Wananchi na wanaharakati mbalimbali watakuwa disappointed, na kwa upande wa CCM, wataendelea kupoteza imani ndogo wapinzani waliyonayo kwao na hivyo huko mbeleni, kuna hatari ya wapinzani kuja kukataa kabisa kukaa chini na viongozi wa CCM na Serikali yake kujadili jambo lolote mpaka maafa yatokee.

Huu ndio utabiri na pia ndio mtazamo wangu wa mambo.

Nimemaliza, muda utaongea.
Malizia na lIne
SAMIA MUST GO
 
Ulichosema ndio kinachoendelea sasa. Mikakati ya kuishawishi CDM iahirishe kwa muda jambo hili, kupisha juhudi za zitakazoitwa za viongozi wa dini kwanza, zimeshika kasi.

Kwa taarifa yenu tu, kuna TC wengi sana Dar es salaam wkt huu kuliko wkt mwingine.

Wanaoweza kuondolewa ni hawa wa PT, kule tc itategemea kama wapinzani CDM watakaza.

NB: Uchaguzi wa mitaa na ule mwingine huenda vyote visiwepo.
 
Ulichosema ndio kinachoendelea sasa. Mikakati ya kuishawishi CDM iahirishe kwa muda jambo hili, kupisha juhudi za zitakazoitwa za viongozi wa dini kwanza, zimeshika kasi.

Kwa taarifa yenu tu, kuna TC wengi sana Dar es salaam wkt huu kuliko wkt mwingine.

Wanaoweza kuondolewa ni hawa wa PT, kule tc itategemea kama wapinzani CDM watakaza.

NB: Uchaguzi wa mitaa na ule mwingine huenda vyote visiwepo.
Wanajua nguvu waliyonayo wapinzani na pia wanajua vitendo hivi vya utekaji na kuua watu vimewakwza wengi hata wasio na vyama, hivyo lazima wawe na hofu kubwa bila kusahau matatizo kama ukosefu wa ajira kwa vijana na makeshift mengine kama tuhuma za kuuza bandari, n.k.

Usisahau Mange na wanaharakati wengine nao wnahamasisha sana maandamano huko kwenye mitandao. Kwahiyo, sio jambo la kupuuza hata kidogo.
 
Japo Mama anajifanya kukaa kimya, ukweli nii kwamba, hatokubali maandamano yatakayoua watu kwani atachafuka zaidi na hivyo atatumia kila mbinu kusitisha haya maandamano.

Hata Nchimbi kuongea na waandishi ilikuwa kuwa tu ni sehemu ya mkakati wa awali wa kupoza joto na ndio maana mkaona anaawaongelea wapinzani in a positive way.
Nchimbi kaongea kwa sababu ya press conference ya mzee BUTIKU tu. Hakuna kingine chochote.

Kuhusu maandamano au ghasia yoyote Ile Nchimbi anakua namna ya kushughulika nayo, kwa wasiomjua Nchimbi ni mafia kuliko mafia wote uliowahi kuwajua hapa TZ!!!
 
Nchimbi kaongea kwa sababu ya press conference ya mzee BUTIKU tu. Hakuna kingine chochote.

Kuhusu maandamano au ghasia yoyote Ile Nchimbi anakua namna ya kushughulika nayo, kwa wasiomjua Nchimbi ni mafia kuliko mafia wote uliowahi kuwajua hapa TZ!!!
Ni kweli hata mie simchukulii mbichi kama mwanadiplomasia.

Ni soft eliminator. Na anawa target wale ambao ni tishio chaguzi kuu ijayo. Potential candidates
 
Sipingani kabisa na mleta mada. Uwezekano huo ni mkubwa.

Utekaji na mauaji, kwa ushahidi wa waliotekwa na wa kimazingira, ni dhahiri unafanywa na Serikali. Ukweli huo unajulikana kwa kila mtu mpaka kwa jamii ya kimataifa, rejea matamko ya nyaraka za mabalozi wa nchi mbalimbali.

Utekaji na mauaji, ni vitendo ambavyo vimekuwa vikifanywa na kikundi cha 'Task Force, chini ya bwana Mafwele, ambacho kipi chini ya Ikulu", ukweli huu unaifanya ikulu kuwa mhusika wa moja kwa moja.

NA ikumbukwe kwamba, Rais Samia alikwishawahi kutoa kauli kuwa hakuna utrkaji wala mauaji, hizo ni drama tu. Ni dhahiri alijua watu wanaofanya vitrndo hivyo, lakini aliamua kunyamaza kwa sababu aliamini kuwa vinafanywa kwaajili ya manufaa yake.

Kwa kuzingatia hayo yote, ndiyo Samia mwenyewe anaona kabisa kuwa yeye siyo mtu sahihi wa kuliongelea hili tena. Maana chochote atakachokitamka itaonekana ni unafiki tu, kwani toka mwanzo hakuonesha dhamira yoyote ya kukomesha matukio haya.

Kwa kulijua hilo, ndiyo maana wanataka kumtumia Dr Nchimbi. Kwanza Nchimbi siyo kiongozi wa Serikali, na anaweza kujitetea kuwa hakujua huu uchafu uliokuwa ukifanyika Serikalini, na akaaminika, kuliko Samia akisema kuwa eti alikuwa hafahamu.

Hivyo kuanzia sasa, kwenye kadhia hii, tusubiria kumwona Nchimbi akichukua nafasi ya muhimu kwenye mazungumzo yote. Na Nchimbi hatataka kuona watu wengine zaidi wakiuawa au kuumizwa kwenye maandamano. Hivyo kutakuwa na jitihada kubwa ya kuyazuia bila ya kutumia nguvu, na polisi watafumvwa midomo ili wasiamshe hasira za wananchi.

Kama ulivyosema, Mwafwele, Wambura, Madauni, hata yule wa TISS, wanasuburia tu muda sahihi wa kuondolewa.
Yameshatimia.

 
Vi
Baada ya CHADEMA kupitia Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe kutangaza maandamano, wazo lilionijia ni CCM kutafu mbinu ya kuzuia haya maandamano yasifanyike na mojawapo ni kuwatumia viongozi wa dini.

Alichofanya leo Padri Kitine ni hatua tu ya awali ila mipango itakuwa teyari imeandaliwa au inaandaliwa ambapo viongozi wa CHADEMA na wa Serikali wataitwa Ikulu Sambamba na viongozi wa dini kujadili namna ya kumaliza hayo maandamano.

Baada ya kikao hicho cha Ikulu, Waziri wa Mambo ya Ndani, IGP na hata DG wa TISS wataondolewa kama sehemu ya makubaliano na hili litafanyika kuwaridhisha viongozi wa CHADEMA na pia CCM na Serikali yake watataka kuonekana wamechukua hatua.

IGP, Kingai na Mafwele, ndio watakuwa wa kwanza kuondolewa ila watafutiwa kazi zingine lengo kusitisha maandamano na kumuokoa Bi Mkubwa na madhara ya watu kuuwawa au kuumizwa kwenye maandamano.

Watakubaliano mambo mengi zaidi ya hayo, ila haya niliyoyasema, lazima yatakuwa miongoni mwa hayo makubaliano bila kusahau madai ya wapinzani kuhusu uendeshaji wa uchaguzi wa Serikali za mitaa ambayo nayo yatajadilwa siku hiyo au katika tarehe nyingine watayokubaliana na baada ya kikao, maandamano yatasitishwa.

Kuhusu uchaguzi wa Serikali za mitaa, uchaguzi unaweza kusogezwa mbele na kesi ya kupinga TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za mitaa inaweza kuondolewa mahakamani au ikaendela sambamba na mazungumzo.

Pia, sheria inayowapa watu wa usalama wa Taifa haki na mamlaka ya kukamata watu na kuwaweka ndani huku wakiwa na kinga ya kutoshitakiwa, inaweza kuwa ni moja ya hoja itayojadiliwa. kwani utaratibu huu mpya unalamikiwa sana na unahusishwa sana na kukithiri kwa vitendo vya watu kutekwa na kupotea.


Kwanini Padri Kitine anatumikq/atatumika?

Wataalikwa viongozi wa dini zote, lakini lazima Padri Kitine awepo na sababu kubwa ni moja tu: ushawishi alionao kwa wapinzani kwasababu siku zote amekuwa upande wa haki akiungana na wapinzani kukemeo maovu yanayoendelea nchini, hivyo ni rahisi kuwashawishi wapinzani katika kufikia makubaliano ya kusitish maandamano na mambo menginyo.

Hata hivyo, CCM watatekeleza baadhi ya mamba tena kwa muda tu na baadae mambo yale yale yatajirudia tena.

Kutakuwa na athari gani?

Wananchi na wanaharakati mbalimbali watakuwa disappointed, na kwa upande wa CCM, wataendelea kupoteza imani ndogo wapinzani waliyonayo kwao na hivyo huko mbeleni, kuna hatari ya wapinzani kuja kukataa kabisa kukaa chini na viongozi wa CCM na Serikali yake kujadili jambo lolote mpaka maafa yatokee.

Huu ndio utabiri na pia ndio mtazamo wangu wa mambo.

Nimemaliza, muda utaongea.
Vise Versa Is correct.
 
Ulichosema ndio kinachoendelea sasa. Mikakati ya kuishawishi CDM iahirishe kwa muda jambo hili, kupisha juhudi za zitakazoitwa za viongozi wa dini kwanza, zimeshika kasi.

Kwa taarifa yenu tu, kuna TC wengi sana Dar es salaam wkt huu kuliko wkt mwingine.

Wanaoweza kuondolewa ni hawa wa PT, kule tc itategemea kama wapinzani CDM watakaza.

NB: Uchaguzi wa mitaa na ule mwingine huenda vyote visiwepo.
Mbona Hadi Sasa upo uchaguzi was serikali za mitaa!!?japo TEC imeshaonyesha kutoridhishwa!
 
Back
Top Bottom