kweli hili la mwangosi linaweza leta mapinduzi! viva forever!!!!!!!! ile Taswira ya mwangosi kufa huku kashika kamera yake mkono wa kulia, na ile taswira ya mtoto wa daudi mwangosi kulia kwa uchungu wakati akisalimiana na watu mbalimbali na ile taswira ya mke wa marehemu kulala juu ya kaburi la mumewe! hazitapita bure!!! hilo nina uhakika nalo!
nchimbi ni mwehu
JK upo wapi?
Kuna kila uwezekano POLISICCM na serikali ya magamba wameshindwa kuzuia maandamano haya kwa kutambua umuhimu wa waandishi wa habari. wanajua kabisa waandishi wana nguvu kubwa katika jamii,na wamefikiria impact yake wakaona ni mbaya kwao. Pia wameona kushindwa kuzuia maandamano ya Waislamu juzi ni doa katika kujaribu kuzuia haya ya leo! Jambo moja nalojiuliza kama Polisi japo kwa shingo upande na mvutano wameridhia maandamano ya Waandishi wa habari kwa mauaji ya mwandishi mwenzao,Mwangosi ni kwa vipi basi walizuia maandamano ya madaktari kulaani kupigwa vibaya na kujeruhiwa kwa dokta mwenzao Stephen Ulimboka? au sababu ni Ulimboka hakufa? au sababu ni ipi? maana Mwangosi aliuawa mikononi mwa Polisi na Ulimboka Usalama wa Taifa wanatuhumiwa kwa kupigwa kwake,au kwa sababu mtuhumiwa ni kubwa lao Usalama wa Taifa?
Mbona mmetembe km chache sana DTV na Jangwani Hata km 5 hazifiki,mmeshindwa hata na yule jamaa wa mafinga aliyetembea km56? @lst mngetembea hadi viwanja vya chuo kikuu mkafanye mkutano ili ujumbe ufike kwa wengi.
Kadanganye wengine!sio hapa Jf,rais=ccm=mawaziri=mwanasheria mkuu=jaji mkuu=s mwema=mkuu wa majeshi=rpc=rco=rc=dc=------_u-_-_-_result is what??Naunga mkono maandamano, kama haki ya msingi ya kila raia kutoa maoni yake. Siungi mkono kitendo cha kuzomea waziri, kwa kuwa tendo la mauaji, si dhamira ya serikali wala chama chochote cha siasa, bali ni utendaji kazi mbovu wa mtu mmoja na wala si jeshi la polisi.
Waziri wa habari amefika Jangwani kuongea na waandishi wa habari walioandamana kwa ajili ya kifo cha Mwangosi lakini amezomewa vibaya, na walipoulizwa waandishi ni wangapi wanataka awahutubie wote wamemkataa, ikabidi aondoke kwa aibu kubwa.
Naunga mkono maandamano, kama haki ya msingi ya kila raia kutoa maoni yake. Siungi mkono kitendo cha kuzomea waziri, kwa kuwa tendo la mauaji, si dhamira ya serikali wala chama chochote cha siasa, bali ni utendaji kazi mbovu wa mtu mmoja na wala si jeshi la polisi.