Mahesabu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2008
- 6,605
- 6,488
Wanafunzi wa shule kadhaa za jiji la dar waliokuwa katika maandamano (yasiyo ya amani) ya kupinga ongezeko la nauli kutoka tsh 50 hadi Tsh 100 leo walifanya uharibifu wa magari kadhaa ya daladala.
Maeneo ya Ilala-boma kulionekana magari kadhaa yakivunjwa vioo na wanafunzi hao. Kati ya magari yaliyovunjwa na kuharibiwa ni lililopewa jina h.G Trans na lingine City Boy.
Askari walitawanya wanafunzi hao wakiwa tayari wamefanya uharibifu.
Maeneo ya Ilala-boma kulionekana magari kadhaa yakivunjwa vioo na wanafunzi hao. Kati ya magari yaliyovunjwa na kuharibiwa ni lililopewa jina h.G Trans na lingine City Boy.
Askari walitawanya wanafunzi hao wakiwa tayari wamefanya uharibifu.