Maandamano ya waislamu yazuiwa

Maandamano ya waislamu yazuiwa

Kwisha habari yao hao wanaodhani kuwa kuandamana ndio Elimu, Busara, Hekima, Na Utashi, Sasa asielewe kiswahili Kesho aandamane, inawezekana anajua Kiarabu tu Kova ila kasahau kutangaza kwa kiarabu
 
Nadhani itakuwa busara kwa uongozi wa Tanzania kukataa shinikizo la dini yoyote. Serikali Haina dini hivyo maandamano ya dini yaruhusiwe na dini na yafanyike ndani ya makanisa na misikiti. Pia ni vyema serikali ikaweka sheria kali kuadhibu watakaokiuka utaratibu huo bila kuangalia (kuonea huruma).
 
Wakristo wananishangaza! maana utadhani Waislamu ni mke wenza wenu ambae mnashea nae Mume!! Waislamu wakitoa maoni yao ya katiba kuwe na kadhi, utasikia Wakristo nao wanapinga maoni hayo! yaani ninyi hamna cha kuchangia ila kushindana na Waislamu tu! dini yenu ndio inafundisha hivyo?

Sasa Waislamu wakiandamana kushinikiza Ponda aachiliwe ninyi kinawahusu nini? Kadinali wenu akishikwa na Polisi bila ya dhamana mtanyamaza tuli na kukubali kuchapwa kibao shavu la pili?

Huo upendo mnaofundishwa Kanisani ndio sampuli hiyo? ndio maana vibaka huwavunjia Makanisa yenu sababu kile mnachofundishwa Kanisani ni tofauti na mnachokitenda!!!

Wivu ukizidi sana matokeo yake ni kifo tu!!!
Tafadhali bana...usimfananishe Cardinal Polycarp Pengo na wahuni wanaovamia viwanja vya watu, kuchoma, kuiba mali za Kanisa na kuhamasisha vitendo vya uvunjifu wa amani nchini . Pengo na Ponda ni kama mlima na kichuguu, kichuguu kikiwa ni Ponda...tafadhali sana...
 
Toka nizakiwe
mpaka nafikisha miaka sasa 30 sijawahi kusikia maandamano ya Wakristu.
Inamaana wao hawapati shika ziwapatazo waislam??? Au kunani
hapo?

acha uongo!juzi hukuona kwenye tv maandamano makubwa kumzika upya cardinal rugambwa Bukoba?
 
Kwa upande wangu wangeachwa
waandamane wakimaliza watarudi nyumbani.Kwani kushinikiza ni lazima huyo
shekhe Ponda atolewe? Kwa kuwakatalia ndio matatizo yanapoanza wawape
nafasi waandamane basi siku yao imeisha,na POnda bado atakuwa yupo
rumande,wakifika Polisi au Ofisi za Wizara ya Mamabo ya ndani wataelezwa
ukeli kwamba shekhe Ponda ana kesi ya kujibu,na viongozi wao
watawahutubia na kuwaelekeza kama ni sahhihi kuandamana au
lah!:confused2:

we huwajui hawa.ukiwaruhusu leo na kesho wataandamana kupinga Pengo kuwa kardinali!
 
Tusishabikie kwasababu ni waislamu wananyimwa kuandamana suala la kuandamana unapaswa kutoa taarifa tu polisi na sio kuomba ruhusa kazi ya polisi hapo ni kulinda hao watu wasivunje amani inatakiwa wapewe ulinzi mzito sana kudhibiti pindi watakapoleta vurugu

Pamoja na kutoa taarifa tu polisi hili uweze kuandamana lazima ziwepo sababu za msingi zinazokufanya uandamane sio kwamba polisi hawana majukumu yakufanya ili wakuandalie ulinzi hata kama maandamano yenyewe hayana tija.
Isitoshe hata jumuiya nyingine za kiislamu zinapinga na kuwashauri wenzao wasishiriki maandamano hayo. Wanasema wanataka kuandamana hili kuishinikiza mahakama iwaachilie wenzao hivi kweli mahakama zinafanya kazi kwa shinikizo la waandamanaji.
Kwa wapenda amani tukikumbuka yaliyojiri kule Mbagala na Zanzibar hatutegemei mema katika maandamano hayo zaidi ya uharibifu wa mali za wasiohusika na maandamano yao na usumbufu kwa watu wanaojitafutia riziki zao.
Wanatakiwa watulie waache sheria ichukue mkondo wake hata mwanasheria wa washitakiwa aliwashauri hivyo lakini wanaona wao ndio wao liwalo na liwe.

Don't depend too much on anyone in this world.Even your shadow leaves you when you are in darkness
 
tujifunze kuwa na hofu ya MUNGU jamani ndugu zangu,tujifunze UPENDO kila siku inapoitwa leo na kuutenda kwa vitendo.si lazima kuandamana ndio usikike katika jambo loote.IKO WAPI AMANI YETU YA KWANZA??????????????
 
Kuandamana ili kuonesha hisia ni haki ya kundi la watu regardless of ethnicity! Fullstop
 
True. Tunaongozwa na Yesu, ambaye ndie Kristo

Na huko kuna watu wenye akili timamu kwa hiyo haliwezi kutoka agizo la kipuuzi

Yes indeed! Kiongozi wao ni marehemu. Alishakufa na kuzikwa. Zimebakia kumbukumbu za maisha yake na ndoa zake na vita vyake

Kwa tafsiri ya kiswahili 'NYUMBA YA KAMBALE' kila mtu ana ndevu, haijulikani nani baba, mama wala binti, kila mtu ana sharubu. Leo Ponda kasimama anasema Mufti Kaffir, kesho Mufti anasema Ponda ni muhuni tu. Matamko yanapishana kama inzi chooni (nawapongeza kwa uhuru na demokrasia yenu na ndio maana mmeendelea sana)

Sheikh Sulman Rushdie tu ndio alikatazwa, wengine wanaruhusiwa.

Hapa sasa ndio umeongea upuuzi Mkuu. Sio wazungu, ni viongozi wa Kanisa. Na kwetu aliye mdogo ndie mkubwa mbele za Mungu, Pope ni Mtumwa wa Bwana kwa watu wake, ameyaacha maisha yake na kuwa mtumishi wa Mungu aliye hai.

Kwa faida yako: Yesu alilikabidhi KANISA lake kwa Petro (Petrus I, Baba Mtakatifu wa Kwanza) na tangu hapo hatujawahi kugombania kanisa wala jengo la kuabudia kiasi tupigane mabomu ya makalio kama tulivyoona Arusha juzi.

Naamini Marehemu Mohammad hakufanikiwa kuacha uongozi, ndio maana leo matamko na matamshi yanapishana. Washia na Wasuni wanauana, mawahabi wanataka kumtoa mufti ofisini na kadhalika. Endelea kujivunia ujinga, hii ndio namna mnatuonesha ukubwa wa imani yenu kwa kuuana.

acha kuongea upuuzi kijana usiye na ufahamu wala usiongee kitu usichokijua humjua Mtume muhamad, basi nyamza hujui Uislam basi usiseme usiongee kutoka na utashi wako wa akili hujui nn maana ya Uislam hujui basi nyamaza wala hafatwi mzungu wala mwarabu Uislam ni mfumo mzima wa maisha ya binadamu chochote utakachofanya ww mjinga na aliye werevu basi kishandikwa makatazo yake na adhabu yake Uislam haujaacha kitu Uislam una kila kitu basi nyamaza sio lazima useme unaweza kusema yanayomuhusu Ponda wala usingilie ya Mtume wala huyajui na kamwe hutayajua.............kama huna Point znazomuhusu Ponda basi nyamaza sio lazma useme unaweza ukawa bora na pia ujasema wala Ponda si mtukufu wa daraja Ponda anamakosa yake kama binadamu kama ulivyo ww unamakosa yako..............wala Papa si mtukufu wa daraja acha kuongea pumba na kama unataka sema nikupe Point za huyo mnayemuabudu waliowatengenezeen mabwana zenu mnaowatukuzu kama mlivyoandika hapo kuku usiye na mwenyewe mnakera sana mijitu kama nyinyi mada nyngne unaleta pumba zako ongea kutaka kuachiwa Ponda na wala mada haimuhusu Muhamad nyama wewe
 
tujifunze kuwa na hofu ya MUNGU jamani ndugu zangu,tujifunze UPENDO kila siku inapoitwa leo na kuutenda kwa vitendo.si lazima kuandamana ndio usikike katika jambo loote.IKO WAPI AMANI YETU YA KWANZA??????????????

UPENDO ni muhimu sana. Inajulikana kabisa kuandamana kwao kunaingia ni pamoja na kufanya vurugu na maneno ya kutukana, hasira, chuki, dharau, uzushi na mengineo machafu mengi tu. Kila mtu kwenye maandamano yao husema asichokijua, cha kuotea tu.Oooh mara Sirikali inawajali na kuwajengea shule na mahospitali mazuri wa kirisitu.....
 
Toka nizakiwe mpaka nafikisha miaka sasa 30 sijawahi kusikia maandamano ya Wakristu. Inamaana wao hawapati shika ziwapatazo waislam??? Au kunani hapo?
Shhhhhhhhh mfumo ni kristu uandamane unataka nini tena nyamaza kimya siku mfumo islamu ukianza tutaandamana
 
Umashine unatokea wapi hapa sasa? Si wanatakiwa kutimiza wajibu wao?
wajibu wao ni kupewa taarifa na kisha kuja kulinda na wao hawana haki yoyote ya kutoa maelekezo,kanuni,utaratibu na ikibidi kuzuia? hivi mfano ikitokea kudi la watu 1000 linaandamana kutoka ubungo(likiwa na watu wenye nia njema na wenye nia mbaya)lingine la watu 100000 kuroka mwenge,lingine kama hilo limefunga tazara na halina mpango wa kuondoka,kariako na kila mahali hivyohivo mikoa yote,wajibu wa polisi unaishia kwenye kwenda kuwalinda tu?
 
wajibu wao ni kupewa taarifa na kisha kuja kulinda na wao hawana haki yoyote ya kutoa maelekezo,kanuni,utaratibu na ikibidi kuzuia? hivi mfano ikitokea kudi la watu 1000 linaandamana kutoka ubungo(likiwa na watu wenye nia njema na wenye nia mbaya)lingine la watu 100000 kuroka mwenge,lingine kama hilo limefunga tazara na halina mpango wa kuondoka,kariako na kila mahali hivyohivo mikoa yote,wajibu wa polisi unaishia kwenye kwenda kuwalinda tu?

Hayo hayatakuwa maandamano it's something else
 
mtu anayekubali kuongozwa na kasisi shoga hawezi kutafakari mambo kwa kina
 
sasa je polisi wakigundua wakiachia maandamano halafu wakienda kuthibiti kenge kwa mfano wanaweza kuvunjika miguu watu 10 mpaka mwisho wa tukio wakiwemo wenye makosa na wasiokuwa na makosa unadhani wanatakiwa wayazuie maandamano?au waache halafu baadae ndo wadhibiti bila kujali madhara yatakayotokea?
 
Leo Hapa Polisi wanapongezwa Kwa kuzuia maandamano ya waislamu.....
Lakini Kichwa cha Habari kingekuwa POLISI YAZUIA MAANDAMANO YA CHADEMA...Matusi yote wanayoelekezewa waislamu
yangeleelekezwa kwa POLISI....

Hawa wanaotukana waislamu ndio wanaoitetea CHADEMA...Watu wakisema ...CHADEMA ni chama Cha wakristo msikatae
 
Back
Top Bottom