Maandamano ya waislamu yazuiwa

Hii bado siyo habari ila ni tahadhari iliwekwa kwa jazba,kama ni suala linaloweza kuhatarisha maisha ya wengi basi mleta uzi ataeleze habari kamili,yaani nani kafanya nini,wapi,lini na kwa namna gani?
 
Napenda sana hao ndugu waandamane na walete fujo kama mara zote walivyofanya, Wahenga walisema "Mtoto akililia wembe mpe au Mchelea mwana kulia hulia yeye au Amani haiji ila kwa ncha ya upanga au Asiyesikia la mkuu huvunjika guu", sasa hawa ndugu maadam wamelilia wembe waache wapewe na tuone hiyo nia yao ya kushinikiza itawafikisha wapi.
Mara ya mwisho walishaonywa na this time wasishangae kabisa baadhi yao wakipoteza uhai maana kuna kila dalili JWTZ wakatimba mtaani.
 
Heeh! Makubwa haya anajiita Muislam halafu anatamani kuuwa Waislam wenziwe ili awafurahishe makafiri, sasa huko ubungo unakwenda sali nini! Nadhani waislam wapo wengi humu lakini wamenyamaza basi hao walionyamaza ni bora zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu kuliko wewe uliezihirisha chuki zako mbele ya ndugu zako. Tafakari.:confused:

Huu ni ukumbusho tu! Kwamba hawatorizika mayahudi na manaswara hadi pale utakafuata mila yao.


Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
kwani muislamu ni nani?uislamu ni nini?uislamu tunajifunza kutoka kwa nani?na kwenye maandiko gani?baada ya kujijibu maswali haya;baada ya hapo utajua kati ya anae fanya fujo na kuwahujumu watu wasiokuwa na hatia na wale wanao yakwepa hayo waislam ni nani na wasiokuwa waislamu ni nani.wewe usitake kufanya mambo ya kipuuzi kwa kujificha nyuma ya uislamu utaenda motoni lazma.si kila anaedai muislam ni muislam na ataenda peponi.Fuata mafundisho ya uislam ili upate kurehemewa vinginevyo ukifuata matamanio yako na kufanya fujo hovyo mitaani badala ya kufanya mambo ya maana utaishia motoni.
 
yaani kuna watu wanapenda mauaji yatokee wakiwa wamesahau ule msemo usemao,
" ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga" msije baadae mkasema waislam magaidi.
 
Dhaifu anaipeleka wapi nchi yetu! kama ameshindwa kutawala ajiuzuru mara moja!
 
utoke ZNZ au morogoro uje kufanya maandamano ya kipumbavu yasiyo na tija! akili za mgando hizi! brain memory 0.005KB
 
siku nyingine ya ibada ya wenzetu! amazing indeed!!! sooo proud to be a christian!
 
Nyie watanzania mmeshindwa kuandamana kwa sababu ya matatizo yenu pesa za umma zinaibiwa mko kimya,maisha yanapanda yakisababishwa na usimamizi mbovu wa watu wachache mlio wachagua nyinyi na walio chini ya mamlaka ya wananchi kuwawajibisha mmekaa kimya loe waislm wanaandaman kwa sababu zao mnaleta vidomo domo vyenu wacha mfundishwe jinsi watu wanavyo weza kupigania haki zao regardels vitisho gani
 
Yaani sasa hivi nipo ofisini kwangu nimeona askari polisi wanapita na gari lao kwa mwendo wa pole kabisa, Ila ndo wana mitututu mikononi sasa sijui wanajaribu kuangalia usalama.Barabara ya kutoka K-koo kuelekea buguruni.
 
Nahisi Uislam ni kitu nyeti sana, tena nyeti kuliko nyeti tulizonazo..!
 
Kuna kikundi cha watu kinalipwa wanakujuaa wenyewe kuvuruga amani ya nchi,pia hawana wanalofanya wanasubiria uchochezi ndio wanapata mlo.nadhani serikali ikaze zaidi na zaidi kuepusha shari linalokuja huko mebele!sikuhizi ijumaa siku mapambano,si siku ya ibada tena!
 
Back
Top Bottom